Baada ya miaka minne, nani aliyefanikiwa kupokea kijiti cha Lady JayDee?

Jide kijiti ataendelea kuwa nacho tu, hao wasanii uliowataja wasipopata show na kick mwaka tu tunawasahau lakini jide aliweza
 
huyo aliyesema jide aachie kijiti yeye radio yake leo inatakiwa ifanye hivyo anahaha kuiokoa.
 
Mimi mhenga lakini miaka mingi nasema JIDE anaimba kwaya. Tena anaimba monotony/monotone music.

Nandi anaimba Muziki.
Vanessa ni wannabe copycat wa muziki wa marekani kitu ambacho hajafanikiwa kukariri na kunukuu vizuri.
 
Kuwa mwangalifu na maneno yako ndugu. Bado unaishi yaweza kukutokea makubwa zaidi ya kushindwa kuzaa. Usimlaumu mtu kwa kitu ambacho hana uwezo nacho!
kwa io na zile mimba zote alizotoa hakuwa na uwezo nazo?
 
Wakumpokea kijiti bado hajapatikana lkn kwenye foleni yupo Vanessa Mdee akikaza atapokea. Nandy mzuri kwenye kuimba lakini hajui kuandika, ngoma zake anaandikiwa hivyo wenyewe wakigoma atapotea kama Lina, Ruby na Rachel.
 
Wakumpokea kijiti bado hajapatikana lkn kwenye foleni yupo Vanessa Mdee akikaza atapokea. Nandy mzuri kwenye kuimba lakini hajui kuandika, ngoma zake anaandikiwa hivyo wenyewe wakigoma atapotea kama Lina, Ruby na Rachel.

True fact.
Angalia wapo wapi Leo.
Yani wekua ni bablishi zisha isha utamu....
Sasa wana mbwelabwela tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…