Baada ya miezi 9 uraini Kajala aibuka tajiri wa kutisha

Haya njoo mango niko hapa nawapa pombe wacongo wananisifia utazani nimeshakufa.

Mkuu naona siku hizi upo ku relax tu, maana sikuoni kwenye jukwaa la presha.!!!
 
Haya njoo mango niko hapa nawapa pombe wacongo wananisifia utazani nimeshakufa.

Aaah ah binamu umetisha eti wanakusifia kama umeshakufa, kwani mtu akifa anasifiwaje
 
Nachukia sn haya magazeti ya jikoni yanapokua source ya habari ni kipuuzi haya hapo utajiri wa kutisha ni upi aaaaarrrrggh....!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…