Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
- Thread starter
-
- #21
AsanteJibu ni ndiyo…kama kungekua na poc(product of conception/mabaki ya mimba)yangeonekana kwenye majibu ya ultrasound.
Asante
Tulipomuuliza daktari kuwa labda ni kuziba kwa mirija ndio kunapelekea asishike ujauzito, akasema haiwezekani mbona mimba ya kwanza alishika
Naomba elimu zaidi kuhusu hili
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Sawa nduguKama dr alikwambia hilo haliwezekani inaweza kuwa sahihi pia,sina ujuzi nalo kwa sana.
Labda swali la kukuuliza,je mkeo anapata period yake kam kawaida tangu mimba iharibike?
Mzunguko wake ukoje?mrefu sana?mfupi sana? ama haueleweki?
Mara nyingi mimba zinapoharibika huchukua muda kiasi kiwango cha hormones mwilini kukaa sawa kama awali kbla ya ujauzito.
Kama bado mna mashaka na hilo la mirija kuziba mnaweza rudi hosp kwa msaada zaidi ama mnaweza badili hosp mkatafuta dr bingwa wa magonjwa ya kina mama na uzazi.
Sawa ndugu
Idadi ya siku zake inabadilika badilika mfano mwezi huu siku 3 mwezi unaofuata siku 5 n.k
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Hapana siku zake ni 28 tuNamaanisha toka period moja hadi nyingine.
Kuna wale wa siku 26,28,30,35 etc.
Thank you [emoji120][emoji2534]Alejandroz
So- take a breath..Even if there are NO fertility issues..it can take up to a year..Without timing intercourse around ovulation..chances of conception are only about 10% a month..You can get it up to 15-20% with carefully timed intercourse
If you’re ejaculating several times a day you might be diminishing your sperm reserves..Have regular sex but follow a known method
Good SMEP for conception (sperm meets egg plan) it will help you get timing right so that you are hitting the high fertility times but NOT overdoing it and having sex too often
Your wife should be tracking ovulation..There’s only a few days a month where she’s fertile..that’s you’re golden window..Sex outside of the fertile window is fun..but you won’t conceive[emoji1768][emoji1768][emoji1768]
Check a regular visit with your Doctor together with your Wife..All the best [emoji1768][emoji112][emoji120]
Nenda maduka wanayouza madawa ya waislam kuna dawa wanauza za kusaidia kutibu ugonjwa wa P.I.D, kutibu u.t.i, kusafisha mirija ya uzazi, watu wenye tatizo la mimba kuharibika.Habari wandugu
Mwaka jana mwezi wa 9 mke wangu alipata tatizo lakuharibika kwa mimba ya miezi mitatu, akapewa dawa na akawa anakandwa na maji ya moto nyumbani baadae akawa anaendelea vizuri
Baada ya hapo hatukutumia kinga yoyote ya ujauzito lakini hadi leo hajapata ujauzito
Mwezi wa 4 tulienda hospitali tukashauriwa kutumia Chromifeni kwaajili ya kuchochea uzalishaji wa mayai kwa siku 14 kuanzia siku ya kwanza anayoingia kwenye siku zake lakini hola
Juzi akawa analalamika maumivu chini ya kitovu na muwasho ukeni, tukaona twende hospitali na tukafanya kipimo cha Utra Sound dokta akasema ana P.I.D hapa tunaendelea na hizo dawa ambazo ni Doxy, Flagyl na Cypro
Je hio P.I.D inaweza ikawa ni sababu pia inayozuia kupata ujauzito,, maana tatizo lilitokea mwaka jana mwezi wa 9 lakin hadi leo hakuna mimba
Au tatizo linaweza kuwa nini hapa,, naomba ushauri wako tafadhari.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Asante nduguNenda maduka wanayouza madawa ya waislam kuna dawa wanauza za kusaidia kutibu ugonjwa wa P.I.D, kutibu u.t.i, kusafisha mirija ya uzazi, watu wenye tatizo la mimba kuharibika.
Hapo ntasema uongo ndugu yangu.
namba 3 ulitaka kumaanishaPoleni sana Kwa changamoto hizi mlizopitia.sikoment mara nyingine,lakini nimekumbuka wakati sisi tunapitia huu wakati nimeona labda niandike machache.
1.mmefanya vizuri kufuatilia Kwa dactari na hatimae wamegundua tatizo.
2.ningeshauri tumieni hizo dawa mpaka atakapopona.
3.baada ya hapo ombeni wameangalie mirija kama Iko open or not.kuna procedure wanafanya nimesahau jina.nikikumbuka nitaandika.
4.inawezekana wakati amepata miscarriage hawakusafisha vizuri,Kwa hiyo mnaweza omba wafanye D & C procedure(dilation and curettage)...ni kama kusafisha kizazi.
Mkimaliza hizi procedures.give yourself time 3 to 4 months.halafu muanze kutafuta Tena.
Kama anapata period vizuri,anunue ovulation kit awe anacheck anafuatilia kila siku na kujua exactly ovulation days.
Mungu atawasaidia.
Kila la kheri
Ndio.Asantenamba 3 ulitaka kumaanisha
Hysterosalpingography
Mimba ya kwanza kushika sio kigezo,what if hapa kati amepata tatizo lilosababishia mirija kuziba.Jaribuni kuwaona madatari tofauti tofauti.Asante
Tulipomuuliza daktari kuwa labda ni kuziba kwa mirija ndio kunapelekea asishike ujauzito, akasema haiwezekani mbona mimba ya kwanza alishika
Naomba elimu zaidi kuhusu hili
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Wanawake wana matatizo mengi sana haswa kwenye kushika ujauzito.....usikute ana stress ila hataki kukuambia tu kwani hataki na wewe uwe stressed kama yeye.Habari wandugu
Mwaka jana mwezi wa 9 mke wangu alipata tatizo lakuharibika kwa mimba ya miezi mitatu, akapewa dawa na akawa anakandwa na maji ya moto nyumbani baadae akawa anaendelea vizuri
Baada ya hapo hatukutumia kinga yoyote ya ujauzito lakini hadi leo hajapata ujauzito
Mwezi wa 4 tulienda hospitali tukashauriwa kutumia Chromifeni kwaajili ya kuchochea uzalishaji wa mayai kwa siku 14 kuanzia siku ya kwanza anayoingia kwenye siku zake lakini hola
Juzi akawa analalamika maumivu chini ya kitovu na muwasho ukeni, tukaona twende hospitali na tukafanya kipimo cha Utra Sound dokta akasema ana P.I.D hapa tunaendelea na hizo dawa ambazo ni Doxy, Flagyl na Cypro
Je hio P.I.D inaweza ikawa ni sababu pia inayozuia kupata ujauzito,, maana tatizo lilitokea mwaka jana mwezi wa 9 lakin hadi leo hakuna mimba
Au tatizo linaweza kuwa nini hapa,, naomba ushauri wako tafadhari.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo akikutajia utakwenda nunua? Fuateni ushauri wa doctor kwanza.Amalize kwanza dawa alizopewa.afanye vipimo tena.halafu muanzie hapo.hakina kinachoshindikana mbele ya Mungu.
Kama siku zake ni regular kiasi hicho ni rahisi sana kufuatilia lini ana ovulate.sioni kama Kuna tatizo kubwa.Just continue with current treatment plan.