carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Wakuu kwema?
samahani kama nimeingilia uzi kati, Hivi inawezekana mtu kucheck Pregnancy akakutwa
-Blood Positive
-Upt Positive
-Lakini Ultrasound negative?
2 monthsInawezekana,inategemea ujauzito una umri gani.
Nafikori chini ya mwezi 1(kama sijakosea)ultrasound haiwezi kuonyesha
Almost Miezi miwili,Je baada ya kutoka kupima utrasound, Doc alisemaje baada ya matokeo kuwa hayo?na je Leo ni siku,week au mwezi wa ngapi baada ya kumiss period?
Mimba ya kwanza kushika sio kigezo,what if hapa kati amepata tatizo lilosababishia mirija kuziba.Jaribuni kuwaona madatari tofauti tofauti.
Scenario: Tulikwenda Kwa best doctor anasifika Kwa infertility issues, wakafanya vipimo wakasema hakuna uwezo wa kushika mimba Kwa njia ya kawaida,labda IVF,au IUI(kama sijakosea,mnaweza nirekebisha).Nikajisemea IVF itakua last option kwetu.basi tukamwona gyno wa kawaida kabisa,wakafanya utrasound wakaona kitu kama polyp.akapanga afanye procedure,pamoja na kuzibua mirija.haikuzidi nusu saa.tukamwuliza umekuta Nini alisema hivi " I found small polyps,I removed them and send to lab, tubes were clogged with mucus,but I was able to shoot dye looks they are open now.I give you 4 months,after the four months you can come to see me again" baada ya miezi 3 tuka conceive.
NB: waoneni madoctor tofauti.
Kabla ya kufanya yote, wote wawili mchekiwe, hormones,sperm count,blood HPV,HIV,maginjwa ya zinaa,BMP,etc kilakitu kikiwa sawa ndo mnaenda next stage.
Kama anapata period vizuri,anunue ovulation kiti Amazon $50 anatumia miaka 2 inasaidia kujua siku gani nzuri za kufanya tendo takatifu. Sio kila mtu anaovulate siku ya kumi na nne kama ulivyouliza huko juu.
Ni safari ndefu lakini mkiwa wote kitu kimoja inakua rahisi.na kumbuka kila mtu Yuko tofauti kilicho work kwetu kinaweza kisiwork kwenu.
Pia watanzania tuache kutumia dawa za watu wanazotushauri bila kufanya vipimo na ushauri kutoka Kwa doctor.ndo maana maginjwa ya figo yanaongezeka.
Pole Kwa gazeti refu.
Kila la kheri.
Almost Miezi miwili,
Doc anasema kurudi tena after a month.
Nashukuru mkuu nitafuata ushauri wako pia [emoji1374]Kama siku zake ni regular kiasi hicho ni rahisi sana kufuatilia lini ana ovulate.sioni kama Kuna tatizo kubwa.Just continue with current treatment plan.
NB.niko concerned kwasababu sipendi ona watu wanahangaika pata watoto.najua stress yake.
Sawa ndugu [emoji1374]Mtoa mada azingatie huu ushauri utamfaa.
Pia ajue ma dr huwa wana overlook vitu wakati mwingine.
Anaweza badili hosp na dr kwa ushauri zaidi.
Sema hapo kwenye mzunguko wake pia panaweza kuwa na shida.
Anaweza pata mzunguko ambao uko sawa lakini hapati ovulation(mayai hayapevuki)ndio maana nilimuuliza kama mkewe alipimwa hormones.
[emoji1374]Poleni sana, soma miongozo mleta mada...
Ngoja tuone huo mwezi, Kuhusu dalili anazo zoteNa kama mlicheki damu ina maana walicheck HCG levels.Je zilionyesha ziko kiasi gani? Kulingana na HCG wangeweza kujua mimba ina umri gani.kama mdau alivyosema nendeni Tena baada ya mwezi kama doc alivyosema.Je mkeo ana dalili zote za mimba kama kichefuchefu nk?
Yaah pid ni kichocheo kikubwa sana kinachopelekea mwanamke kukosaHabari wandugu
Mwaka jana mwezi wa 9 mke wangu alipata tatizo lakuharibika kwa mimba ya miezi mitatu, akapewa dawa na akawa anakandwa na maji ya moto nyumbani baadae akawa anaendelea vizuri
Baada ya hapo hatukutumia kinga yoyote ya ujauzito lakini hadi leo hajapata ujauzito
Mwezi wa 4 tulienda hospitali tukashauriwa kutumia Chromifeni kwaajili ya kuchochea uzalishaji wa mayai kwa siku 14 kuanzia siku ya kwanza anayoingia kwenye siku zake lakini hola
Juzi akawa analalamika maumivu chini ya kitovu na muwasho ukeni, tukaona twende hospitali na tukafanya kipimo cha Utra Sound dokta akasema ana P.I.D hapa tunaendelea na hizo dawa ambazo ni Doxy, Flagyl na Cypro
Je hio P.I.D inaweza ikawa ni sababu pia inayozuia kupata ujauzito,, maana tatizo lilitokea mwaka jana mwezi wa 9 lakin hadi leo hakuna mimba
Au tatizo linaweza kuwa nini hapa,, naomba ushauri wako tafadhari.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Yaah pid pia nikichocheo kikubwa sana Njoo NIKUSAIDIE inshallahHabari wandugu
Mwaka jana mwezi wa 9 mke wangu alipata tatizo lakuharibika kwa mimba ya miezi mitatu, akapewa dawa na akawa anakandwa na maji ya moto nyumbani baadae akawa anaendelea vizuri
Baada ya hapo hatukutumia kinga yoyote ya ujauzito lakini hadi leo hajapata ujauzito
Mwezi wa 4 tulienda hospitali tukashauriwa kutumia Chromifeni kwaajili ya kuchochea uzalishaji wa mayai kwa siku 14 kuanzia siku ya kwanza anayoingia kwenye siku zake lakini hola
Juzi akawa analalamika maumivu chini ya kitovu na muwasho ukeni, tukaona twende hospitali na tukafanya kipimo cha Utra Sound dokta akasema ana P.I.D hapa tunaendelea na hizo dawa ambazo ni Doxy, Flagyl na Cypro
Je hio P.I.D inaweza ikawa ni sababu pia inayozuia kupata ujauzito,, maana tatizo lilitokea mwaka jana mwezi wa 9 lakin hadi leo hakuna mimba
Au tatizo linaweza kuwa nini hapa,, naomba ushauri wako tafadhari.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app