Baada ya mlipuko Arusha, sasa vyombo vya usalama viwe makini na Ubarozi wa VATICAN Dar

Baada ya mlipuko Arusha, sasa vyombo vya usalama viwe makini na Ubarozi wa VATICAN Dar

Kakende

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2012
Posts
2,741
Reaction score
1,232
Napenda kuwashauri watu wa usalama na serikali kwa ujumla. Baada ya mlipuko wa Arusha ambao kimsingi ulikuwa unamlenga Barozi wa Papa nchini, lakini ikashindikana sasa kuna uwezekano mkubwa kundi hili linafanya mpango wa kuripua ubarozi wa VATICAN Dar.

Kwanini nasema hivyo? Kwa psycholojia ya kawaida kabisa. Kundi la kiharifu lililokutana Diamond Jubilee Mwaka 2011 August kama sikosei, huku likilindwa na Polisi. Moja ya Agenda kubwa kabisa ilikuwa ni kuhakikisha ubarozi wa Papa unafungwa. Kama wamemkosa kosa barozi huyo Arusha kuna uwezekano mkubwa wanawinda ubarozi huo kama ilivyokuwa kwa ubarozi wa marekani.

Kundi hili ni la kiharifu kwa sababu maazimio yeke ilikuwa kuua au kuuawa, ukiazimia kuua basi wewe ni muharifu hata kama ungekuwa Shekhe au Padre

Kwanini walikuwa wanamlenga barozi huyo?

Hapa Arusha yako makanisa mengi ya kikatoliki tena yako mjini, kitendo cha hao magaidi kusafiri hadi Olasit alipo huyo Barozi kinaashiria alilengwa yeye


Mods mkihamua kuondoa uzi huu basi mtakuwa mmefanikisha mipango ya kigaidi. Pia naomba isikashifiwe dini ya mtu hapa
 
Naunga mkono hoja....Lile azimio la Diamond Jubilee ndo limezaa harakati chafu za kishetani na kuzaa vi-devil kama Ilunga na sheikh ponda..
 
Kitu kinachoitwa UCHOCHEZI WA KIDINI ni pamoja na mtazamo huu duni. Ni uzuzu kusadikishwa hivyo. Tupige vita nadharia uchwara km hii na badala yake
tuungane kuwaibua maadui wetu wa kweli kwa kufanya uchunguzi wa kina kwa kutumia wataalamu wa kazi hiyo, na si ma tom and Jerry wa uswazi wanaojifanya wana majibu ya kila swali.
 
Waiteni waislam ma devil lakini kumbukeni hii nchi ni ya watu wote bila kujali imani zao...
 
Naunga mkono hoja....Lile azimio la Diamond Jubilee ndo limezaa harakati chafu za kishetani na kuzaa vi-devil kama Ilunga na sheikh ponda..
Wewe ni mdini mkubwa, michango yako mingi hapa jukwaani ni kuponda waislam..chadema imekuharibu sana. Pole
 
Napenda kuwashauri watu wa usalama na serikali kwa ujumla. Baada ya mlipuko wa Arusha ambao kimsingi ulikuwa unamlenga Barozi wa Papa nchini, lakini ikashindikana sasa kuna uwezekano mkubwa kundi hili linafanya mpango wa kuripua ubarozi wa VATICAN Dar.

Kwanini nasema hivyo? Kwa psycholojia ya kawaida kabisa. Kundi la kiharifu lililokutana Diamond Jubilee Mwaka 2011 August kama sikosei, huku likilindwa na Polisi. Moja ya Agenda kubwa kabisa ilikuwa ni kuhakikisha ubarozi wa Papa unafungwa. Kama wamemkosa kosa barozi huyo Arusha kuna uwezekano mkubwa wanawinda ubarozi huo kama ilivyokuwa kwa ubarozi wa marekani.

Kwanini walikuwa wanamlenga barozi huyo?

Hapa Arusha yako makanisa mengi ya kikatoliki tena yako mjini, kitendo cha hao magaidi kusafiri hadi Olasit alipo huyo Barozi kinaashiria alilengwa yeye


Mods mkihamua kuondoa uzi huu basi mtakuwa mmefanikisha mipango ya kigaidi. Pia naomba isikashifiwe dini ya mtu hapa
1. Kundi la kiharifu lililokutana Diamond Jubilee Mwaka 2011 August kama sikosei (Taarifa ulikuwa nazo,ulizifikisha wapi?
2.huku likilindwa na Polisi (una ushahidi gani katika hili?
 
Napenda kuwashauri watu wa usalama na serikali kwa ujumla. Baada ya mlipuko wa Arusha ambao kimsingi ulikuwa unamlenga Barozi wa Papa nchini, lakini ikashindikana sasa kuna uwezekano mkubwa kundi hili linafanya mpango wa kuripua ubarozi wa VATICAN Dar.

Kwanini nasema hivyo? Kwa psycholojia ya kawaida kabisa. Kundi la kiharifu lililokutana Diamond Jubilee Mwaka 2011 August kama sikosei, huku likilindwa na Polisi. Moja ya Agenda kubwa kabisa ilikuwa ni kuhakikisha ubarozi wa Papa unafungwa. Kama wamemkosa kosa barozi huyo Arusha kuna uwezekano mkubwa wanawinda ubarozi huo kama ilivyokuwa kwa ubarozi wa marekani.

Kwanini walikuwa wanamlenga barozi huyo?

Hapa Arusha yako makanisa mengi ya kikatoliki tena yako mjini, kitendo cha hao magaidi kusafiri hadi Olasit alipo huyo Barozi kinaashiria alilengwa yeye


Mods mkihamua kuondoa uzi huu basi mtakuwa mmefanikisha mipango ya kigaidi. Pia naomba isikashifiwe dini ya mtu hapa
wewe ni shetani na ni mdini ila unajitahidi kuvaa ngozi ya kondoo inakushinda..imepata wapi mamlaka ya kuita dini ya wenzio kundi la kihalifu???? Tangu lini polisi wakalinda wahalifu???? Hiyo imani unayoiita wahalifu ina watu wengi humu ndio wanapoona kejeli zenu hizi wanashindwa kuitofautisha chadema na kanisa
 
1. Kundi la kiharifu lililokutana Diamond Jubilee Mwaka 2011 August kama sikosei (Taarifa ulikuwa nazo,ulizifikisha wapi?
2.huku likilindwa na Polisi (una ushahidi gani katika hili?
Hivi wewe unaishi dunia gani?
Kwani azimio la Diamond Jubilee na wanachozongumza redio Imani na akina Mohamed Said kuna tofauti gani?
 
Magaidi, watembea na sumu hadi bar wanajulikana.. Unapogeuza kibao na kuwapaka wengine ubaya hatukuelewi...lwakatare ameshikwa hadi na video akipanga mauwaji lakini mmeona ni mpenzi wenu, kemeeni na hilo ndio mje na huu uzushi mwingine
 
Naunga mkono hoja....Lile azimio la Diamond Jubilee ndo limezaa harakati chafu za kishetani na kuzaa vi-devil kama Ilunga na sheikh ponda..
Hapana, hawa walianza kwanza na ujasiriamali wa mihadhara kisha ndio sasa wame-upgrade. Unawakumbuka akina shehe Mazinge?
 
wewe ni shetani na ni mdini ila unajitahidi kuvaa ngozi ya kondoo inakushinda..imepata wapi mamlaka ya kuita dini ya wenzio kundi la kihalifu???? Tangu lini polisi wakalinda wahalifu???? Hiyo imani unayoiita wahalifu ina watu wengi humu ndio wanapoona kejeli zenu hizi wanashindwa kuitofautisha chadema na kanisa

Hivi huu uzi inahusiana vipi na Chadema....?
Povu la bia.......!!!!!
 
kwani balozi kuwapo Tanzania anawanyima usingizi hilo kundi?
ataendelea kuwepo tu,
kwani hakuna balozi wa saudia Tanzania?
wakishamtoa balozi wa papa ndio kanis alitakufa au?
akili zingine bwana.
 
wewe ni shetani na ni mdini ila unajitahidi kuvaa ngozi ya kondoo inakushinda..imepata wapi mamlaka ya kuita dini ya wenzio kundi la kihalifu???? Tangu lini polisi wakalinda wahalifu???? Hiyo imani unayoiita wahalifu ina watu wengi humu ndio wanapoona kejeli zenu hizi wanashindwa kuitofautisha chadema na kanisa

Ndugu, bila kujali kuwa una nafasi gani katika jamii, ukishafanya mkutano na mwisho azimio ikawa ni kuua au kuuawa basi wewe ni muharifu hata kama ungekuwa nani. Pia mimi sijataja jina la dini yoyote
 
Kitu kinachoitwa UCHOCHEZI WA KIDINI ni pamoja na mtazamo huu duni. Ni uzuzu kusadikishwa hivyo. Tupige vita nadharia uchwara km hii na badala yake
tuungane kuwaibua maadui wetu wa kweli kwa kufanya uchunguzi wa kina kwa kutumia wataalamu wa kazi hiyo, na si ma tom and Jerry wa uswazi wanaojifanya wana majibu ya kila swali.
Kwanza M23 wamejinasibu sana na bomu la Arusha soma magezeti ya leo muhimu kumjua adui ni nani na sio kugawanya nguvu yako kwa mitizamo ya kidini. Kule mbele ikidhihiri ni udini itajulikana vizuri lakini huu sio mda mzuri wa kulijua hilo
 
Back
Top Bottom