Baada Ya Mo Dewj Kunyimwa Simba, Msimu Huu wa Simba Utakuwa mbaya kuliko yote

Kwa ulofa wako unadhani Yanga inafurahia tu kupanda ndege. Hata hujui kama Yanga iko hatua ya nane bora. Mbumbumbu wakubwa nyie, jadilini maendeleo ya klabu lenu mikia fc
 
Kwa hiyo Mo apewe timu ili aje kununua mechi kama Yanga?
Kwa mawazo ya namna hii hata miaka elfu mbili hamna maendeleo ya mpira.
 
Anazingua huyo kila kitu anasingizia watu,hivi pale Singida United alishindwaje kuweka watu wake anao waamini waongoze timu? Uwezo na ushawishi alikuanao ila kwakuwa alienda pale kwa manufaa yake ya kisiasa akapata alichokipata akaitekeleza, akawaahidi kuwajengea uwanja miaka yote kumi ya ubunge bila bila, akakimbia. MO yuko kimaslahi yake ila poa apate na mashabiki tufurahi.
 
Alitaka amiliki 51% ya Simba kwa maana nyngine yeye ndiye awe mmiliki wa timu. Nadhani wamemstukia kuimiliki timu.
Mo akimiliki club, akina Hands Poppe watabaki kuwa mashabiki. Hawatakubali hilo.
Wakitaka kumleta Mo, wawaondoe viongozi wa sasa.
 
Viongozi wa Simba ni wabinafsi sana na wanaona mtu kama MO kuja Simba maslahi yao ya Ufisadi yatapotea
 
Endeleeni kushabikia TP Mazembe wakija kucheza na sisi Taifa.
 
MO kama anamapenzi ya dhati na Simba amwage fedha pale kuisaidia timu msimu huu wa 2016/2017 na si anachotaka kufanya. Afadhiri timu isajiri,ijenge uwanja wake
Ili mzikule vizuri?Acheni uswahili kwenye mambo ya msingi
 
Ndo tatizo la kuanza kushabikia mpira juzi... Hivi hujui simba ilibeba kombe la kagame mara mbili ndani ya mwaka mmoja na la mwisho ni kenya kwa kuifunga asante kotoko ya ghana na tusker ya kenya? Usijiaibishe ulivyo mtupu kwa hilo
 
Sasa yanga mmekazana kututukana humu ili nini? Acheni tujadili matope yetu.Nyinyi kapandeni mapipa hukooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…