Baada ya MO kutekwa, morali ya wachezaji Taifa Stars yashuka , kuchezea kichapo dhidi ya Cape Verde

Taifa stars sio ya Dewji,pamoja na kuwa mchangiaji mkubwa wa michezo hasa soka timu inatakiwa ipambane na ishinde.
 
Acha upuuzi wako wewe... yaan awalaani wasiozaliwa?? HUYO SIO MUNGU AMINI HIVYO..
 
Ninayo majina ya rafiki zangu waliokuwa very bright class lakini walifeli mitihani kwa sababu ya mshtuko wa vifo vya wapendwa wao siku chache kabla ya paper , kinachozungumzwa hapa ni tukio linalolikabili soka la Tanzania muda mfupi kabla hawajaingia uwanjani , MO ni mdau wa soka wa kiwango cha juu kabisa , kwamba kutekwa kwake kusistue Taifa Stars ni akili ya kiwango cha chini sana !

Tunapoandika haya hatumaanishi tunadharau wengine walioshambuliwa au kutekwa kama Lissu na Ben au labda mwingine yeyote , mimi niko Chadema na nina uchungu na hao watu labda hata kuliko wewe , lakini hili halinizuii kuandika mengine yanayofanana na kushambuliwa kwao , kwahiyo acha tabia mbovu ya kudhani tunamjali zaidi MO kuliko wengine , Mimi ninao uzi kwenye jukwaa hili wa kupinga MO kuuziwa hisa za Simba , lakini hilo halikunizuia kuzungumzia kutekwa kwake
 
Ungesema timu ya simba haina morali ningekuelewa lkn kwa Taifa stars umejidanganya! Najua ww ni mpinzani wa kila kitu hata maandiko yako unaweza kuyapinga maana una akili mbaya za kichadema na Diktera wenu wa kudumu Mbowe
 
Siku nyingine kabla hujaandika kujibu hoja ya mtu, soma kwanza hoja yake na uangalie alikua anamjibu nani na huyo aliekua anajibiwa aliandika nini.

Watu wenye hekima hufanya hivyo!
 
Nakumbuka world cup 2014 Brazil ..mchezaji wa Ivory Coast Serey Die alifiwa na baba yake...akakataa kurudi nyumbani kwenye msiba mpaka amalize mechi..msiba ulisogezwa mbele...itakuwa Mo huna undugu nae...kwanza kwenye kuuzwa hisa za Simba kulikuwepo matajiri watatu Mo akawaonga wakina Manara wapitishe jina lake..akitoweka MTU mwingine atanunua hisa
 
all in all, hao watekaji wangejaribu kumteka Manji pangechimbikaa, wali-assess kwanza na kubaini kuwa mo ni mpome mpome na mnyenyekevu, ila wangejaribu kwa ‘teja’ karatee na mikono ya kufa mtu ingetembezwa kwa watekaji!
 
Ngoja niwahi kutengeneza mkeka niwape Cape Verde nitie stake tembo
 
Ahaaaa...kumbe
 
Nafukua kaburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…