chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Naona kama kuna mkakati wa kuidhoofisha Chadema kuelekea uchaguzi. Lissu akiwa anatumika na dola yuko mstafi wa mbele kutengeneza mgawanyiko hasa baada ya Msigwa kuishambulia sana Chadema, lakini akagonga mwamba.
Wana chadema, tukija kustuka, chama chetu kitakuwa hoi bin taaban, watu watahujumiana kwenye uchaguzi, na baada ya uchaguzi, Lissu hataongoza chama kwa amani kwa kwa atakiwa akipingwa katika vikao, na baadae atapigiwa kura ya kutokuwa na imani naye, na atafukuzwa uanachama.
Kura za ngazi ya urais kama Lissu akigombea zitahujumiwa na mahasimu wake wa kisiasa ngazi za chini.
Wana chadema, tukija kustuka, chama chetu kitakuwa hoi bin taaban, watu watahujumiana kwenye uchaguzi, na baada ya uchaguzi, Lissu hataongoza chama kwa amani kwa kwa atakiwa akipingwa katika vikao, na baadae atapigiwa kura ya kutokuwa na imani naye, na atafukuzwa uanachama.
Kura za ngazi ya urais kama Lissu akigombea zitahujumiwa na mahasimu wake wa kisiasa ngazi za chini.