Baada ya muda mrefu nimekutana na vitabu vizuri sana vipitie

Baada ya muda mrefu nimekutana na vitabu vizuri sana vipitie

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Mwaka haujaisha lakini na recomend kwako acha kila kitu usome hichi kitabu, once nilikua sisomi vitabu mpaka nilipoanza kukisoma hichi sijawahi kupata kingine zaidi ya hichi, Kama kuna mtu anacho kitabu cha hivi cha story nzuri Kama hiki (based on try story) aseme hapa niongeze kwenye library yangu.

91LlwvTTJSL.jpg


Nilivyomaliza nikawa kwenye tafakari ya hicho kitabu na maisha wanayohishi watu wa Afghanistan, nikachungulia movie moja inaitwa BLACK BIRD

images (12).jpeg

Pia na yenyewe ni true story nakushauri ukiwa free pakua huo mzigo unafikirisha sana na imani Siku yako itakua nzuri.

Mwisho ni Hii hapa episode 10 tu inaitwa 1883

images (10).jpeg


Rate yake ni 8.8/10 ni movie ambayo haitokupotezea mda wako..

Kudownload kitabu PDFdrive.com
Series hizo, info netnaija, staga TV au nkiri

Je kwa mwaka huu kuna series Kali Kama hizo hipi unaijua niongeze kwenye list
 
Mwaka haujaisha lakini na recomend kwako acha kila kitu usome hichi kitabu, once nilikua sisomi vitabu mpaka nilipoanza kukisoma hichi sijawahi kupata kingine zaidi ya hichi, Kama kuna mtu anacho kitabu cha hivi cha story nzuri Kama hiki (based on try story) aseme hapa niongeze kwenye library yangu.
View attachment 2332671

Nilivyomaliza nikawa kwenye tafakari ya hicho kitabu na maisha wanayohishi watu wa Afghanistan, nikachungulia movie moja inaitwa BLACK BIRD

View attachment 2332673
Pia na yenyewe ni true story nakushauri ukiwa free pakua huo mzigo unafikirisha sana na imani Siku yako itakua nzuri.

Mwisho ni Hii hapa episode 10 tu inaitwa 1883
View attachment 2332686

Rate yake ni 8.8/10 ni movie ambayo haitokupotezea mda wako..

Kudownload kitabu PDFdrive.com
Series hizo, info netnaija, staga TV au nkiri

Je kwa mwaka huu kuna series Kali Kama hizo hipi unaijua niongeze kwenye list
Shukrani sana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom