Baada ya mvua, ni mwendo wa kumbikumbi

Baada ya mvua, ni mwendo wa kumbikumbi

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,921
782e6b947bf555845e4cc41926e8f81f.jpg

Chakula kitamu sana kwa ugali hiki
 
Wanaongoza kwa kula maiti.

Vichugu vingi vipo karibu na
Makaburi,na kama ulikua hufahamu hao ndio malkia na
Wafalme wa mchwa

Shauri yako we jisosomoe Tu.
Ndio unachoogopa mkuu?!
Mbona wewe unakula vinyesi vya kuku ng’ombe na sometimes binadam kupitia mboga za majani
 
Back
Top Bottom