ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Asilimia kubwa ya Wanawake ambao mwamba Baltazar amewapelekea moto ni wake za Vigogo , viongozi Mashuhuri na watu ambao pesa kwao sio tatizo.
Sasa wale wanaosemaga pesa ndio Kila kitu Kwa Mwanamke waje waeleze kwamba nini kiliwaponza hao wanawake wa mboga saba.
Binafsi naamini pesa ni muhimu ila sio kipaombele Kwa mwanamke achilia mbali waanaojiuza ambao nao Huwa na wapenzi wao.
Kipaombele kikubwa Cha mwanamke ni mambo yanayosisimua hisia zake Ili afurahi na hapa players, mabitozi,wanaume Malaya,walevi na wengine wa dizaini hiyo Huwa wanajimegea kirahisi sana maana wanajua kucheza na hisia zao bila kujalisha ni Mke wa Kigongo au kayumba,wote ni wale wale.Pesa ni kichicheo tuu.
Hata Mimi nimewahi jaribu kufanya hayo maigizo na nilifaulu Kwa wake za watu ndio nikagundua usije wekeza akili Yako na Nguvu kuubwa Kwa mwanamke eti unamuamini sana na unampenda,atakuina mjinga.
Mara nyingi mwanamke Kila ambacho anajifanya hapendi na hafanyi basi ujue ndio Huwa anapenda na anafanya, wanawake wanapenda sana kufanya ila sio kufanywa Kwa kuleta ustaarabu,aisee watakuona mjinga.Hao watu wafanye vyovyote na popote watakuona wa maana sana tofauti na kujifanya unawajaali saaana.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DB_pO4Xi6uv/?igsh=YzI2djEwaHdjOXRl
My Take
Binafsi kazi ya kufurahisha mwanamke ilishanishinda na Wala sifanyagi maana nimewaona wengi wanaojifanya kufurahisha wanawake wameumia,naamini kwenye ubabe kiasi,kutajali kiviile na kuwafanya in rough way,hizo mbinu zimenilipa ila wale wastaarabu wanalia Kila siku 😁😁😁😁.👇👇
View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1854847101118582862?t=0mJgK5tJz4ZMP-LowhDhQg&s=19
Sasa wale wanaosemaga pesa ndio Kila kitu Kwa Mwanamke waje waeleze kwamba nini kiliwaponza hao wanawake wa mboga saba.
Binafsi naamini pesa ni muhimu ila sio kipaombele Kwa mwanamke achilia mbali waanaojiuza ambao nao Huwa na wapenzi wao.
Kipaombele kikubwa Cha mwanamke ni mambo yanayosisimua hisia zake Ili afurahi na hapa players, mabitozi,wanaume Malaya,walevi na wengine wa dizaini hiyo Huwa wanajimegea kirahisi sana maana wanajua kucheza na hisia zao bila kujalisha ni Mke wa Kigongo au kayumba,wote ni wale wale.Pesa ni kichicheo tuu.
Hata Mimi nimewahi jaribu kufanya hayo maigizo na nilifaulu Kwa wake za watu ndio nikagundua usije wekeza akili Yako na Nguvu kuubwa Kwa mwanamke eti unamuamini sana na unampenda,atakuina mjinga.
Mara nyingi mwanamke Kila ambacho anajifanya hapendi na hafanyi basi ujue ndio Huwa anapenda na anafanya, wanawake wanapenda sana kufanya ila sio kufanywa Kwa kuleta ustaarabu,aisee watakuona mjinga.Hao watu wafanye vyovyote na popote watakuona wa maana sana tofauti na kujifanya unawajaali saaana.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DB_pO4Xi6uv/?igsh=YzI2djEwaHdjOXRl
My Take
Binafsi kazi ya kufurahisha mwanamke ilishanishinda na Wala sifanyagi maana nimewaona wengi wanaojifanya kufurahisha wanawake wameumia,naamini kwenye ubabe kiasi,kutajali kiviile na kuwafanya in rough way,hizo mbinu zimenilipa ila wale wastaarabu wanalia Kila siku 😁😁😁😁.👇👇
View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1854847101118582862?t=0mJgK5tJz4ZMP-LowhDhQg&s=19