MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Nani huyo.....Huenda Kauli hii ya kusema 'nikiteuliwa kuwa DC nitakataa kwani kwa Hadhi na Elimu yangu hakinifai'.
Tuwe makini na Kauli zetu JF.
Unamsingizia nadhani. Anajielewa sana hawezi kutoa kauli hii.Huenda Kauli hii ya kusema 'nikiteuliwa kuwa DC nitakataa kwani kwa Hadhi na Elimu yangu hakinifai'.
Tuwe makini na Kauli zetu JF.
[emoji38][emoji38][emoji38]Nani huyo.....
Ha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.......Pasi - KALI NJAA,?
Anaubipu uDC kiaina.Kumbe kaka paskal.Ila anapambana anawezapata dodo.
[emoji23]Ila genta a.k.a popoma unahangaika sana. Utakuwa ni mwanamke wewe [emoji41]
huyu popoma anajifanyaga mjuaji,mjuaji gani umekalia visasiAcha kujishughulisha na Mambo ya watu,hebu jaribu kilimo..utanishukuru baadae