Ni kweli Mkuu Acha tukae kimya maana siku hizi hata wanasheria wanaitwa Kwa DCI.Dunia hii bila dhuluma hujatajirika bado
Watu wanadhulumu hadi Uhai!
Mimi ni Yanga.MO akiondoka Simba, Simba HAIWEZI kufika popote. Nimekaa pale!!!!
Mwambie hana heraaa.., kama vp aanzishe yake pale Nzega.Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangalla amesema kampuni ya HK Group sasa iko tayari kuwekeza katika Vilabu vikubwa nchini Simba SC na Dar Young Africans
Ikumbukwe Mwekezaji Mo Dewji amesema ameanza kukata tamaa na Uwekezaji wake pale Simba
Dr Kigwangalla ametoa ofa hiyo kupitia ukurasa wake wa twitter!
Mimi ni Yanga.
Hili unaloongea ni UJUHA
Mo sio Simba..wala mafanikio ya simba, simba ilikuwepo kabla ya Mo na ilifanya vizuri.
Bila Mo simba itakuwepo na itafanya vizuri...msingi ni pesa pesa pesa
Wewe umefika wapi.MO akiondoka Simba, Simba HAIWEZI kufika popote. Nimekaa pale!!!!
Kama man ubavu mtoeni MO muone kama hamjarudi kuweka Kambi Kisiju!We ni NABII.
Ila Unaakili za KITOTO SANA.
ANYWAY UMESEMA NI MTOTO WA SHULE.
Hiyo pesa inatoka wapi bila uwezekaji? Unafikiri Chelsea, kwa mfano, ni wajinga kuwa na mwekezaji? Unajua kwanini Inter Milan inatajwa kuwa imefirisika? Unafikiri Simba ingekuwa ina hela MO walimkaribisha wa nini?Mimi ni Yanga.
Hili unaloongea ni UJUHA
Mo sio Simba..wala mafanikio ya simba, simba ilikuwepo kabla ya Mo na ilifanya vizuri.
Bila Mo simba itakuwepo na itafanya vizuri...msingi ni pesa pesa pesa
Tatizo hujanielewa.Hiyo pesa inatoka wapi bila uwezekaji? Unafikiri Chelsea, kwa mfano, ni wajinga kuwa na mwekezaji? Unajua kwanini Inter Milan inatajwa kuwa imefirisika? Unafikiri Simba ingekuwa ina hela MO walimkaribisha wa nini?
Ahahahahaha! Yaani mnamkejeli mwekezaji aliyepo ukitarajia aje mwingine ambaye hujui kama atakuja!? Usisahau, a bird in hand worth two in the bush! Ahahahahaha! Au unamaamisha Mwekezaji Kigwangalla? Ahahahahaha!Tatizo hujanielewa.
Nilimaanisha mo akiondoka atawekeza mwingine
Kwa taarifa yako simba na Yanga ni team lengwa kwa wafanyabiashara wakubwa.Ahahahahaha! Yaani mnamkejeli mwekezaji aliyepo ukitarajia aje mwingine ambaye hujui kama atakuja!? Usisahau, a bird in hand worth two in the bush! Ahahahahaha! Au unamaamisha Mwekezaji Kigwangalla? Ahahahahaha!
Kuna mfanyabiashara gani mkubwa Tanzania kumzidi MO?Kwa taarifa yako simba na Yanga ni team lengwa kwa wafanyabiashara wakubwa.
Pili Mo anajikejeli mwenyewe kwa kuisimsnga simba kila mara anaiona mzigo
Sasa kama Mo amesema amekata tamaa unamng'ang'ania? Au?Kuna mfanyabiashara gani mkubwa Tanzania kumzidi MO?
Na zile 2B za kuchangia uwanja zipo wapiZile bilion 20 ziko wapi, atoe ndo aondoke
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangalla amesema kampuni ya HK Group sasa iko tayari kuwekeza katika Vilabu vikubwa nchini Simba SC na Dar Young Africans
Ikumbukwe Mwekezaji Mo Dewji amesema ameanza kukata tamaa na Uwekezaji wake pale Simba
Dr Kigwangalla ametoa ofa hiyo kupitia ukurasa wake wa twitter!
Halafu Mo alikuwa amevalishwa kangaUONGO Simba ilikuepo kabla ya MO
[emoji3578]
Wapi ?
Mbagala market na baadaye African Lyon nayo Mo ilimshindaMo ilimshinda Singida United ataiwezaje Simba
Ilipoifunga Yanga goli Tano Mo alikuwepo?Mimi ni Yanga.
Hili unaloongea ni UJUHA
Mo sio Simba..wala mafanikio ya simba, simba ilikuwepo kabla ya Mo na ilifanya vizuri.
Bila Mo simba itakuwepo na itafanya vizuri...msingi ni pesa pesa pesa