Wow! Hongera sana kwa kuligundua hilo, aisee yaani wewe leo umetufumbua macho kumbe nchi ya Kenya ambayo ina Uchumi mkubwa klk TZ ina uwezo wa kuwa na bajeti kubwa kuliko TZ? Dah hongera sana, kwa kweli wewe ni kichwa hakijawahi tokea!
Kuna vitu vingine havihitaji hata kupigiwa upatu lakini watu wanavishupalia utadhani ni "BIG DEAL" ...Kenya haijawahi kuwa na bajeti ndogo ukanda huu hivyo,sijaona jipya
Ingekuwa uganda ningeshangaa.... Alafu mtu unailinganisha Tz na nchi kama rwanda na burundi !!!...
Umesoma comment yangu kweli?Unanieleza nilichosema au?Haya,waambie wenzako wanaosema eti bajeti kubwa haimaanishi chochote,wala haina maana yeyote.Utuwaona kwenye 'comment' za kwanza,uzi huu huu!
Halafu ukiangalia kabajeti wanachokopea na kuomba misaada, yaani unachoka. Nchi yenye raslimali nyingi na kabajeti kadogo na bado wanakaombea misaada. Afrika ina laana jamani.