Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
kwa utafiti wangu nimebaini marekani inazo taarifa ya kuwa jk yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini obama tayari amejiandaa kumshinikiza jk kuachia ngazi mara tu nec itakapomtawaza dr. Slaa kuwa raisi wetu wa tano...
Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu jk katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.
Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................
Rafiki hii spidi unayoendelea nayo itabidi tukuweke kwene ignore list kama Malaria Sugu.
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi mara tu NEC itakapomtawaza Dr. Slaa kuwa Raisi wetu wa tano...
Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu JK katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.
Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi mara tu NEC itakapomtawaza Dr. Slaa kuwa Raisi wetu wa tano...
Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu JK katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.
Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................
kaka naomba namba ya obama ninashida nae nadhani atakuwa mtu wako wa karibu sana plz pm namba yake.
Wakati mwingine udaki kama huu unaweza kuharibu mambo badala ya kufikiri utamsaidia mgombea wako. Nani kasema Marekani iko juu ya maamuzi ya wapiga kura wa Tanzania? Wakati huu ni wa kuomba kwa Mungu (sio kuomba kwa Marekani) uchaguzi uwe huru na haki bila vurugu wala ghasia.
Wakati mwingine udaki kama huu unaweza kuharibu mambo badala ya kufikiri utamsaidia mgombea wako. Nani kasema Marekani iko juu ya maamuzi ya wapiga kura wa Tanzania? Wakati huu ni wa kuomba kwa Mungu (sio kuomba kwa Marekani) uchaguzi uwe huru na haki bila vurugu wala ghasia.
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi mara tu NEC itakapomtawaza Dr. Slaa kuwa Raisi wetu wa tano...
Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu JK katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.
Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza JK kuachia ngazi mara tu NEC itakapomtawaza Dr. Slaa kuwa Raisi wetu wa tano...
Hili kidogo ni la kushangaza kwa sababu JK katika kampeni zake amekuwa akijigamba juu ya uhusiano wake wa karibu na tawala za marekani lakini hawaelewi wamarekani hao kabisa kwani hawana cha urafiki inapokuja kusimamia misingi ya demokrasia.
Ukibwaga na wapigakura wanakuhama maramoja mithili ya radi vile...................