Baada ya ng'ombe toka Kenya sasa Wakenya wanaleta ng'amia

The CEO geza ulale take"wa fine au tunapiga mnada hiyo mifugo kama sheria zinavyosema" duh!Kiti-mtu soup is real.
 
CEO geza ulale, Anakigizo kwa njamii.Na kwajiya njema apewe nithamu.
 
Meanwhile revved up , raring to go waakilishi wa EA. Spot the golds (hint 5 minimum)
 
Maullana CEO geza ulale ime like

Kulinda mipaka ya nchi ni kitu cha maana sana. Kama unaacha nchi yako, watu wanapita au kuingia na kutoka wanavyotaka ni tatizo kubwa sana. Walivyofanya kwa habari ya ngamia, nawapa big up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…