Baada ya PEP naweza kutumia rapid test kujipima?

Baada ya PEP naweza kutumia rapid test kujipima?

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Naomba kuuliza, kwa wataalamu, maana ninyi ndio wataalam.

Je, baada ya PEP naweza kutumia rapid test kujipima ama lazima niende hospitali?

Je, kati ya rapid test na uni-gold ni kipimo ganj kiko sahihi zaidi.

Nasikia kuna kitu kinaitwa 4th generation test, ndio kikoje na kinapatikanaje?

Ahsante.
 
1. Nakushauri uende hospital



2. Rapid test ni vipimo vyote vinavyotumia muda mfupi kupata majibu ya ugonjwa, hata unigold ni rapid test pia sifa yake ni kuwa ni very specific, SD bioline ni very sensitive

Vipimo vya 3rd generation hupima antibody only na ni kuanzia siku ya 21 tokea ulipopata exposure. Ndio hivyo vya SD bioline pamoja na Unigold. Huweza kugundua kwa 95% baada ya siku 28.

4th generation ambayo hupima antibody na antigen. Mfano wake ni Elisa test. Kwa kutumia hivi window period ni siku tu..

Nipo tayari kusahihishwa
 
1. Nakushauri uende hospital



2. Rapid test ni vipimo vyote vinavyotumia muda mfupi kupata majibu ya ugonjwa, hata unigold ni rapid test pia sifa yake ni kuwa ni very specific, SD bioline ni very sensitive

Vipimo vya 3rd generation hupima antibody only na ni kuanzia siku ya 21 tokea ulipopata exposure. Ndio hivyo vya SD bioline pamoja na Unigold. Huweza kugundua kwa 95% baada ya siku 28.

4th generation ambayo hupima antibody na antigen. Mfano wake ni Elisa test. Kwa kutumia hivi window period ni siku tu..

Nipo tayari kusahihishwa
Hicho elisa hutoa majibu siku hiyo hiyo? Kila hospitali inacho?

Mbona hospitali nyingi ukienda wanakupimia hizo rapid test mkuu.
 
1. Nakushauri uende hospital



2. Rapid test ni vipimo vyote vinavyotumia muda mfupi kupata majibu ya ugonjwa, hata unigold ni rapid test pia sifa yake ni kuwa ni very specific, SD bioline ni very sensitive

Vipimo vya 3rd generation hupima antibody only na ni kuanzia siku ya 21 tokea ulipopata exposure. Ndio hivyo vya SD bioline pamoja na Unigold. Huweza kugundua kwa 95% baada ya siku 28.

4th generation ambayo hupima antibody na antigen. Mfano wake ni Elisa test. Kwa kutumia hivi window period ni siku tu..

Nipo tayari kusahihishwa

Kuna mahala niliwahi kusoma kitambo kwamba PEP zinasababisha window period kuongezeka. Hivyo mtu anapaswa awe mvumilivu hadi miezi 6 ndio inaweza leta majibu ya uhakika
 
Hata hizo Elisa ni rapid test!!

Hapa Tz Elisa zipo kwenye hospital kubwa kubwa na pia kule damu salama

Aende LANCET Labarotories wanavyo hivyo vipimo vyote anavyotaka isipokiwa bei zake zimenoga nadhani hiyo elisa inaweza fika 160k
 
Aende LANCET Labarotories wanavyo hivyo vipimo vyote anavyotaka isipokiwa bei zake zimenoga nadhani hiyo elisa inaweza fika 160k
Muhimbili Eliza, PCR DNA, RNA zote hizo ni bure.
 
Kuna mahala niliwahi kusoma kitambo kwamba PEP zinasababisha window period kuongezeka. Hivyo mtu anapaswa awe mvumilivu hadi miezi 6 ndio inaweza leta majibu ya uhakika
There are very few studies that have examined the “earliest time” you can do an HIV test after taking PEP and have conclusive results. There are some theories that taking PEP can increase the window period for testing by delaying the appearance of HIV antigen or antibodies in the blood – these have neither been proven or debunked, although evidence is weighted towards the latter.
Current data would suggest that p24 antigen and antibody response is not significantly affected by these antiviral medications, but these studies have mainly been done on individuals taking Pre-Exposure Prophylaxis (PrEP). As the medications used for PrEP and PEP are essentially the same, we can extrapolate this data to post-PEP testing as well. Confounding factors to these studies include patient adherence to PrEP/PEP regime as well as any instances of ongoing high-risk exposures during the course of medication and/or after.

Nimesoma hiyo mtandaoni.
 
Mkuu hujanijibu swali langu, elisa inatoa majibu siku hiyo hiyo? Maana ulisema elisa pia ni rapid.

Ahsante.
Ndio unapatamajibu siku hiyo,kit za third generation in a detect antibody only ila kit za forth generation zinadetect antibody na p24 antigen
 
Back
Top Bottom