Elections 2015 Baada ya Pinda kutangaza nia, Membe afunguka

Hivi Pinda si aliwahi tamka kwamba mafisadi wakishughulikiwa nchi itayumba?
 
Hakuna wa kumzuia lowasa akipita kwenye kugombea mtaisoma namba ni vumbi tuuuuu
 
Ngoja wakati ufike tutayaona mengi ila tutapata rais anayefaa.

Nakuhakikishia Rais anayekuja hatakuwa na doa la ufisadi; uwe wa fedha za RICHMOND au fedha za kutoka kwa serikali ya Gaddaffi!!!
 

Subiri mwezi ujao mkuu ndio utamjua Membe ni kiongozi wa aina gani.
 
Hate him but the truth is, this is one of the best interviews to have ever been staged by those who are said to aspire for the high office. Kudos Membe for being candid and factual.
 
Kama mtaendelea kujidanganya kuwa raisi ni lazima atoke wizara ya mambo ya nje basi mtakuwa mmeshindwa kuelewa falsafa nzima ya uongozi. Sio kwamba kuwa wizara ya nje ndo utaweza kuendesha vema nchi hii.
Mambo mengi sana yanahitajika. Nadhani hili sihitaji kuliongelea sana kwa sababu rekodi ipo.
Utakuwa mtu wa ajabu kama na rekodi pia hauna
 
Membe jembe hata majibu yake yanaonesha utash wake
 
Nakuhakikishia Rais anayekuja hatakuwa na doa la ufisadi; uwe wa fedha za RICHMOND au fedha za kutoka kwa serikali ya Gaddaffi!!!

Wananchi Libya wanataseka, hivi hawajaanza kufuatilia hela zao zilizosambazwa na Gadafi maana zinatumika hovyo na bado watu wanajiita waadilifu, dah siasa unafiki sana.
 
Bado ni mapema sana kusema anafaa, rais ni mtu mwenye haiba ya juu, anayetakiwa kuchunguzwa sana, maana huyo ndie anaefanya kazi ya kufikiri na kuamua kwa niaba ya wengine woote anaowaongoza. Hivyo,ni vema tujue falsafa zake na hata misimamo yake popote pale alipowahi kutumikia watu au hata kufanya maamuzi. Siwapingi wanaompenda Membe ila ninatoa changamoto kwa wana jamvi ili kumpima kwa undani na umantiki wa hoja
 
Katika nchi za wenzetu walioendelea, mtu yeyote anayetaka kugombea uongozi wa nchi na hasa ofisi ya URAIS huwa wanaandika vitabu ambavyo huelezea maono yao ya jinsi watakavyokabiliana na matatizo ya nchi zao pindi watakapopata fursa ya kuchaguliwa na kuongoza nchi zao. Hapa kwetu wale wanaowania Urais wanabaki kuita tu waandishi wa habari na kutoa porojo zao zisizoeleweka kwanini wanasaka uongozi na jinsi gani watapambana na kutatua kero zinazowakabili wananchi; wanabakia kusimangana tu kuwa mwenzangu ni fisadi na mimi sio fisadi hivyo mimi ninafaa!!!

Kupitia JF mimi nilimshauri January Makamba kuwa he will have a head start to other aspiring candidates kama angeweka maono yake katika kitabu. Wazee wengi wanausaka URAIS kama njia ya kutaka kwenda kuiba tu na hawana vision wala uwezo wa kuandika kitabu; sioni hata mmoja kati ya hao wanaousaka urais ambaye ni competent kuainisha vision yake ambayo anaweza kuiuza kwa wananchi na ikakubalika!! Can someone envision Wassira, Sitta, Lowassa, Membe, Ngeleja writing a book that spells out what they want to do for the country to rid it of its cronic poverty,diseases and corruption? Nasikia Prof. Mwandosya nae yumo kwenye kinyang'anyoro hiki na anaandika kitabu; let us wait and see what he has to offer!!
 
Panya panya kwani huyo Membe katoka ukoo gani?Kama sio ukoo uleule wa panya?Tunataka fikra mpya kama angekua smart angekua mshauri mzuri kwa mwenyekiti wa mapanya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…