Baada ya Rich Mavoko na Laizer sasa ni zamu ya Harmonize kutoka WCB

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Mgogoro wao umefikia patamu sana sasa hivi ambapo kuna kampuni ya Nigeria inataka sasa kumchukua Harmonize maana dau lao ni 10x la sasa

Mondi amejaaa Harmo amesema amechoka kunyonywa na ndo maana hata sasa kwenye mambo ya WCB haonekani
 
Mgogoro wao umefikia patamu sana sasahivi ambapo kuna kampun ya nigeria inataka sasa kumchukua harmonize maana dau lao ni 10x la sasa
Mondi amejaaa harmo amesema amechoka kunyonywa na ndo maana hata sasa kwenye mambo ya wcb haonekani
TeamKiba acheni majungu.
 
Habari zakijinga hakuna anayependwa na kupenda WCB kama Harmonize ..jama yupo USA kupiga kazi ndo mana haonekan
 
Lisemwalo lipo kama halipo lipo njiani,hata kwa mavoko wengi walipinga ila kilochotokea kila mtu alikiona na bado watu wana bifu nae

Konde boy alizidi kihedemsede na yeye kisa mikwanja ya saranjele

Cheki birthday hata kupost jaman cheki tour yake huko alipo WCB kimyaa kama sio wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…