babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Ulitaka ujae ucdm na ushoga wa ukristo?WCB imejaa u CCM na Uislam wa Mujahidin full stop
Ni mali ya mtu binafsi hata wakiamuaWCB imejaa u CCM na Uislam wa Mujahidin full stop
Hivi unajua idadi ya Muslim Tanzania wapo wangapi,JE kati ya hao Wanamuziki ni wangapi?..Usichukue ujinga wanaofanya wachache,kuwajumuisha na wengi ambao wanafuata misingi sahihi.wewe kama unachukizako na Muslim sawa sikukatazi,maana hata ukichukia hutabadilisha chochote kile, kilcho pangwa kuwa kitakuwa tu. "mvi sio busara"Madrassa tulifunzwa kua kuimba mziki Na usanii in Kazi ya shetani. Lakini ukiangalia 70% ya wasanii was bongo wakubwa Na underground no Muslim.
IPI Kazi ya mafundisho ya maimamu kwa watoto wao?
Aliyekuambia kua mm Nina mvi nani?Hivi unajua idadi ya Muslim Tanzania wapo wangapi,JE kati ya hao Wanamuziki ni wangapi?..Usichukue ujinga wanaofanya wachache,kuwajumuisha na wengi ambao wanafuata misingi sahihi.wewe kama unachukizako na Muslim sawa sikukatazi,maana hata ukichukia hutabadilisha chochote kile, kilcho pangwa kuwa kitakuwa tu. "mvi sio busara"
mkuu umenifanya nicheke,huo ni msemo huwa napendaga kuutumia.kuwa watu wanaaminikuwa wazee huwa na busara sana,sasa sio kila mzeee ana busara. ndio maana wakasema kuwa "mvi sio busara.Aliyekuambia kua mm Nina mvi nani?
We ndo msemaji mkuu wa wcbMgogoro wao umefikia patamu sana sasahivi ambapo kuna kampun ya nigeria inataka sasa kumchukua harmonize maana dau lao ni 10x la sasa
Mondi amejaaa harmo amesema amechoka kunyonywa na ndo maana hata sasa kwenye mambo ya wcb haonekani
Hukukosea hata kidogo, baada ya kupokea mafundisho binaadamu bado ana hiari yake ya kutii ama kutotii maelekezo a mafundisho ya imani husika kwaiyo bado kuna kazi ya maimamu, walimu na masheikh katika uislam kuendelea kuhubiri dini na mafundisho yake ili waliopotea na kujisahau ama kughafilika warudi katika njia sahihi. Mfano wa haya ni aliye kuwa msanii nguli wa mziki wa taarab mzanzibari ambae alikua ni bora kwa wakati wake katika amali hiyo ila mara baada ya kuzinduka na kuongoka akanyooka katika njia iliyonyooka sasa amekuwa akitangaza dini na kuwaita watu katika njia sahihi ya Allah subhanahu wataalaa.Madrassa tulifunzwa kua kuimba mziki Na usanii in Kazi ya shetani. Lakini ukiangalia 70% ya wasanii was bongo wakubwa Na underground no Muslim.
IPI Kazi ya mafundisho ya maimamu kwa watoto wao?
Yuda alikuwa akitembea na Yesu 24hrs akaletewa vipande vya fedha na akasaliti.Madrassa tulifunzwa kua kuimba mziki Na usanii in Kazi ya shetani. Lakini ukiangalia 70% ya wasanii was bongo wakubwa Na underground no Muslim.
IPI Kazi ya mafundisho ya maimamu kwa watoto wao?
Nakuona Shabiki wa WCB roho juuLaiza kasepa kwani? Ila WCB sio Harmonize utambue hilo
Una I'd ngapi?Nakuona Shabiki wa WCB roho juu
Nyingi sana, Kila device na id yake!Una I'd ngapi?