Pre GE2025 Baada ya Samia Legal Aid sasa wameanzisha "Samia Teachers Clinic" kwa ajili ya maslahi ya walimu. Walimu msidanganyike!

Pre GE2025 Baada ya Samia Legal Aid sasa wameanzisha "Samia Teachers Clinic" kwa ajili ya maslahi ya walimu. Walimu msidanganyike!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baada ya Samia Legal Campaign, sasa hivi CCM wamekuja na hii ya kuitwa Samia Teachers kwa ajili ya kupata kura za walimu.

Hapo walimu watadanganywa kuwa wanatatuliwa changamoto zao ili walainike kuwapigia kura CCM kwenye Uchaguzi alafu baada ya Uchaguzi hii huduma itakufa na walimu wataachwa kwenye mataa.

Hii kampeni ina lengo la kupata kura za walimu tu

Snapinst.app_477475885_18045277409362258_1543740199776476390_n_1080.jpg


Snapinst.app_472728182_18045277418362258_3344879264420293503_n_1080.jpg

==================================================

Zaidi ya walimu 2,000 wamejitokeza kuhudumiwa katika Samia Teachers Clinic, mpango unaoratibiwa na CWT kwa kushirikiana na serikali kutatua changamoto za walimu.

Mkoa wa Tabora umekuwa wa 15 kupokea kliniki hiyo, ambapo Mkuu wa Mkoa, Paul Chacha, amesema inatoa suluhisho kwa madai ya walimu, ikiwa ni juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Afisa Utumishi Mkuu, Judith Abdallah, amesema serikali imejipanga kushughulikia madai ya walimu, huku Rais wa CWT, Leah Ulaya, akisisitiza ushirikiano kati ya chama na serikali ili kuharakisha utatuzi wa changamoto hizo.

Source: Zanzibar Mpya
 
Wacha watu wale wali nyama na weww..

Kuna yule alikuwa anatoa mapovu na DP world kapewa kagari tu kayeyuka na kichwa kafukia kwenye mchanga..
 
Wakuu,

Baada ya Samia Legal Campaign, sasa hivi CCM wamekuja na hii ya kuitwa Samia Teachers kwa ajili ya kupata kura za walimu.

Hapo walimu watadanganywa kuwa wanatatuliwa changamoto zao ili walainike kuwapigia kura CCM kwenye Uchaguzi alafu baada ya Uchaguzi hii huduma itakufa na walimu wataachwa kwenye mataa.

Hii kampeni ina lengo la kupata kura za walimu tu


==================================================

Zaidi ya walimu 2,000 wamejitokeza kuhudumiwa katika Samia Teachers Clinic, mpango unaoratibiwa na CWT kwa kushirikiana na serikali kutatua changamoto za walimu.

Mkoa wa Tabora umekuwa wa 15 kupokea kliniki hiyo, ambapo Mkuu wa Mkoa, Paul Chacha, amesema inatoa suluhisho kwa madai ya walimu, ikiwa ni juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Afisa Utumishi Mkuu, Judith Abdallah, amesema serikali imejipanga kushughulikia madai ya walimu, huku Rais wa CWT, Leah Ulaya, akisisitiza ushirikiano kati ya chama na serikali ili kuharakisha utatuzi wa changamoto hizo.

Source: Zanzibar Mpya
Utapeli tupu
 
Wakuu,

Baada ya Samia Legal Campaign, sasa hivi CCM wamekuja na hii ya kuitwa Samia Teachers kwa ajili ya kupata kura za walimu.

Hapo walimu watadanganywa kuwa wanatatuliwa changamoto zao ili walainike kuwapigia kura CCM kwenye Uchaguzi alafu baada ya Uchaguzi hii huduma itakufa na walimu wataachwa kwenye mataa.

Hii kampeni ina lengo la kupata kura za walimu tu


==================================================

Zaidi ya walimu 2,000 wamejitokeza kuhudumiwa katika Samia Teachers Clinic, mpango unaoratibiwa na CWT kwa kushirikiana na serikali kutatua changamoto za walimu.

Mkoa wa Tabora umekuwa wa 15 kupokea kliniki hiyo, ambapo Mkuu wa Mkoa, Paul Chacha, amesema inatoa suluhisho kwa madai ya walimu, ikiwa ni juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Afisa Utumishi Mkuu, Judith Abdallah, amesema serikali imejipanga kushughulikia madai ya walimu, huku Rais wa CWT, Leah Ulaya, akisisitiza ushirikiano kati ya chama na serikali ili kuharakisha utatuzi wa changamoto hizo.

Source: Zanzibar Mpya
Aiseee
 

Attachments

  • 7efb41ac458b9a427ee9324dc4395a97_1739768203334.mp4
    2.1 MB
Wacha watu wale wali nyama na weww..

Kuna yule alikuwa anatoa mapovu na DP world kapewa kagari tu kayeyuka na kichwa kafukia kwenye mchanga..
RAIS WA TLS MWABUKUSI ALIUWAGA ANAPIGA KELELE KAMA KICHAA SASAHIVI KIMYAAAAAAAAAA CHEZA ASALI WEWE?
 
Wakuu,

Baada ya Samia Legal Campaign, sasa hivi CCM wamekuja na hii ya kuitwa Samia Teachers kwa ajili ya kupata kura za walimu.

Hapo walimu watadanganywa kuwa wanatatuliwa changamoto zao ili walainike kuwapigia kura CCM kwenye Uchaguzi alafu baada ya Uchaguzi hii huduma itakufa na walimu wataachwa kwenye mataa.

Hii kampeni ina lengo la kupata kura za walimu tu


==================================================

Zaidi ya walimu 2,000 wamejitokeza kuhudumiwa katika Samia Teachers Clinic, mpango unaoratibiwa na CWT kwa kushirikiana na serikali kutatua changamoto za walimu.

Mkoa wa Tabora umekuwa wa 15 kupokea kliniki hiyo, ambapo Mkuu wa Mkoa, Paul Chacha, amesema inatoa suluhisho kwa madai ya walimu, ikiwa ni juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Afisa Utumishi Mkuu, Judith Abdallah, amesema serikali imejipanga kushughulikia madai ya walimu, huku Rais wa CWT, Leah Ulaya, akisisitiza ushirikiano kati ya chama na serikali ili kuharakisha utatuzi wa changamoto hizo.

Source: Zanzibar Mpya
Kwahiyo waache kumsikiliza na kumuunga mkono Mama Samia wakusikilize wewe sio? Mbona unachekesha?
 
Wakuu,

Baada ya Samia Legal Campaign, sasa hivi CCM wamekuja na hii ya kuitwa Samia Teachers kwa ajili ya kupata kura za walimu.

Hapo walimu watadanganywa kuwa wanatatuliwa changamoto zao ili walainike kuwapigia kura CCM kwenye Uchaguzi alafu baada ya Uchaguzi hii huduma itakufa na walimu wataachwa kwenye mataa.

Hii kampeni ina lengo la kupata kura za walimu tu


==================================================

Zaidi ya walimu 2,000 wamejitokeza kuhudumiwa katika Samia Teachers Clinic, mpango unaoratibiwa na CWT kwa kushirikiana na serikali kutatua changamoto za walimu.

Mkoa wa Tabora umekuwa wa 15 kupokea kliniki hiyo, ambapo Mkuu wa Mkoa, Paul Chacha, amesema inatoa suluhisho kwa madai ya walimu, ikiwa ni juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Afisa Utumishi Mkuu, Judith Abdallah, amesema serikali imejipanga kushughulikia madai ya walimu, huku Rais wa CWT, Leah Ulaya, akisisitiza ushirikiano kati ya chama na serikali ili kuharakisha utatuzi wa changamoto hizo.

Source: Zanzibar Mpya
Haya mambo ya kuita kila kitu samia yanaudhi sana.
 
Back
Top Bottom