dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Hawa mameneja wa Tanesco mikoani na wilayani ndiyo wanatengeneza hayo mazingira kwakuwa na wao wanapata gawio humo, mimi nadhani Tanesco HQ watengeneze mfumo ambao wateja watatuma maombi moja kwa moja kwenye mfumo huo, halafu mameneja wa mikoa wapewe maagizo tokea juu, na kila siku jioni utendaji wao upimwe kutokana na idadi ya wateja watakaokuwa wamehudumiwaBaada ya Serikali kupunguza kulipia umeme Hadi 27,000 tanesco kwenye baadhi ya mikoa ,limeibuka tatizo la kukoseka kwa watumishi wanaojulikana kama ' surveyor, mfano kule Kilimanjaro ofisi ya tanesco mkoa ,kuna surveyor wawili, anaohudumia ofisi ya mkoa . Hii imechangia kuongezeka kwa rushwa na ukiritimba mkubwa ili kupata umeme wa Tsh 27,000. Cha kushangaza graduates wamejaa mitaani Ila surveyor wa tanesco ni wawili mkoa mzima. Tunaomba waziri mwenye dhamana na wizara ya nishati, atembelee ofisi ya tanesco mkoa wa Kilimanjaro ajionee maajabu.
Nasikia kuna full amount wizara na waziri wanatamka hiyo 27,000/= huku uhalisia ukiwa sivyoWaziri au MD wekeni kwenye jamii forum na vyombo vya habari hii 27,000 imekaaje .lakini naona wako kimya tu.
Waziri njoo na majibu wananchi huku wahudumiwe kwa matamko yako uli iyotoa.kazi za kuunganisha wateja wapya zimekwama kusubiri maelekezo ya kuunganisha kwa 27,000 kwa kila kaya.ni mwezi sasa karibu tangu watendaji wako wanasubiri ufafanuzi.kwanihyo maana yake ni mwezi sasa tanesco wamekwama kuunganishia wateja wapya.wapunguzieni lawama watendaji wenu kwa watu kwani wao ndiyo wako karibu na wananchi
Waziri njoo na majibu wananchi huku wahudumiwe kwa matamko yako uli iyotoa.kazi za kuunganisha wateja wapya zimekwama kusubiri maelekezo ya kuunganisha kwa 27,000 kwa kila kaya.ni mwezi sasa karibu tangu watendaji wako wanasubiri ufafanuzi.kwanihyo maana yake ni mwezi sasa tanesco wamekwama kuunganishia wateja wapya.wapunguzieni lawama watendaji wenu kwa watu kwani wao ndiyo wako karibu na wananchiHahaaaa!!hiyo 27, 000 ni kwa wale tu ambao hawahitaji nguzo ili kufikiwa na umeme.yaani nguzo unayotaka kuchukulia umeme iwe ndani ya mita 30, hivyo wanakuja kukuvutia tu waya.ila kama una kuna nguzo inayohitajika bei ni zile zile za zamani zilivyokuwa.tatizo la wana siasa wanapotoa matamko huwa hawataki yawe wazi ili mwisho wa siku mtendaji ndio aonekane ana matatizo kwa anaowahudumia.
Ninaomba kuuliza, surveyor walioajiriwa na tanesco wanaotakiwa wawe na sifa gani kielimu na wanasomea wapi hiyo kozi? Isije ikawa ni kama traffic polisi kubadilishiwa mavazi . Hiki kitengo ni Cha kuangaliwa kwa jicho la tatu. Kinainyima tanesco mapato makubwa sana kwa uzembe,usumbufu,na Rushwa zao.Hawa mameneja wa Tanesco mikoani na wilayani ndiyo wanatengeneza hayo mazingira kwakuwa na wao wanapata gawio humo, mimi nadhani Tanesco HQ watengeneze mfumo ambao wateja watatuma maombi moja kwa moja kwenye mfumo huo, halafu mameneja wa mikoa wapewe maagizo tokea juu, na kila siku jioni utendaji wao upimwe kutokana na idadi ya wateja watakaokuwa wamehudumiwa
Vinginevyo kila jambo jipya la serikali ni fursa kwa wahuni
Wale ni vishoka tu Mkuu wanapewa futi kamba na mameneja wanapima wanagana rushwa maisha yanakwenda mbeleNinaomba kuuliza, surveyor walioajiriwa na tanesco wanaotakiwa wawe na sifa gani kielimu na wanasomea wapi hiyo kozi? Isije ikawa ni kama traffic polisi kubadilishiwa mavazi . Hiki kitengo ni Cha kuangaliwa kwa jicho la tatu. Kinainyima tanesco mapato makubwa sana kwa uzembe,usumbufu,na Rushwa zao.
Niliwapa namba yangu ya simu, Hadi Leo sijapata taarifa Wala kupigiwa simu na tanesco. Kweli huu ni uungwana?Tumepokea.taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
Na hilo ndio kundi linalojua meneja anakula niniWale ni vishoka tu Mkuu wanapewa futi kamba na mameneja wanapima wanagana rushwa maisha yanakwenda mbele
NaamNa hilo ndio kundi linalojua meneja anakula nini
Surveyor ni fundi umeme tu, ila hizo ni idara tu, lakini mtu yoyote mwenye ujuzi wa umeme anaweza kufanya kazi ya survey.Tatizo ni hata hao mafundi umeme huko tanesco ni wachache sana.Ninaomba kuuliza, surveyor walioajiriwa na tanesco wanaotakiwa wawe na sifa gani kielimu na wanasomea wapi hiyo kozi? Isije ikawa ni kama traffic polisi kubadilishiwa mavazi . Hiki kitengo ni Cha kuangaliwa kwa jicho la tatu. Kinainyima tanesco mapato makubwa sana kwa uzembe,usumbufu,na Rushwa zao.
Hata mimi ni muhanga wa hili swalaBaada ya Serikali kupunguza kulipia umeme Hadi 27,000 tanesco kwenye baadhi ya mikoa ,limeibuka tatizo la kukoseka kwa watumishi wanaojulikana kama ' surveyor, mfano kule Kilimanjaro ofisi ya tanesco mkoa ,kuna surveyor wawili, anaohudumia ofisi ya mkoa . Hii imechangia kuongezeka kwa rushwa na ukiritimba mkubwa ili kupata umeme wa Tsh 27,000. Cha kushangaza graduates wamejaa mitaani Ila surveyor wa tanesco ni wawili mkoa mzima. Tunaomba waziri mwenye dhamana na wizara ya nishati, atembelee ofisi ya tanesco mkoa wa Kilimanjaro ajionee maajabu.