Baada ya SGR kuishia porini, mradi mwengine wa "oil refinery" wafutwa

Baada ya SGR kuishia porini, mradi mwengine wa "oil refinery" wafutwa

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Rais Uhuru Kenyatta ametangaza rasmi kwamba, Kenya haitojenga kiwanda cha kusafisha mafuta yake kutoka Turkana(crude oil refinery) badala yake watasafirisha mafuta hayo kama "crude", kutokana na uchache wa mafuta yaliyogunduliwa.

Hili ni pigo lingine kwa majirani zetu katika miongoni mwa mapigo Mengi yatakayotokea kutokana na mipango mibovu Sana ya nchi yao. David Ndii amekua akiwapigia sana kelele kutokana na kuanzisha miradi bila kuangalia " economic viability" badala yake wanatumia political emotions.

1)Bomba la mafuta la Uganda
2)Bomba la mafuta toka Turkana
3)SGR
4)BRT
5)Ukuta katika mpaka na Somalia
6)5 big modern stadia
7)Laptop per child
8)Super highway Mombasa to Nairobi
9)Crude oil refinery
10) Next please........
 
IMG_20191019_221737.jpg
 
Na bado unashangaa gap linazidi kupanuka...si ujiulize kwnza mnakwama wapi na ile ahadi yenu ya kutupita kiuchumi na miundombinu
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza rasmi kwamba, Kenya haitojenga kiwanda cha kusafisha mafuta yake kutoka Turkana(crude oil refinery) badala yake watasafirisha mafuta hayo kama "crude", kutokana na uchache wa mafuta yaliyogunduliwa.

Hili ni pigo lingine kwa majirani zetu katika miongoni mwa mapigo Mengi yatakayotokea kutokana na mipango mibovu Sana ya nchi yao. David Ndii amekua akiwapigia sana kelele kutokana na kuanzisha miradi bila kuangalia " economic viability" badala yake wanatumia political emotions.

1)Bomba la mafuta la Uganda
2)Bomba la mafuta toka Turkana
3)SGR
4)BRT
5)Ukuta katika mpaka na Somalia
6)5 big modern stadia
7)Laptop per child
8)Super highway Mombasa to Nairobi
9)Crude oil refinery
10) Next please........
 
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza rasmi kwamba, Kenya haitojenga kiwanda cha kusafisha mafuta yake kutoka Turkana(crude oil refinery) badala yake watasafirisha mafuta hayo kama "crude", kutokana na uchache wa mafuta yaliyogunduliwa.

Hili ni pigo lingine kwa majirani zetu katika miongoni mwa mapigo Mengi yatakayotokea kutokana na mipango mibovu Sana ya nchi yao. David Ndii amekua akiwapigia sana kelele kutokana na kuanzisha miradi bila kuangalia " economic viability" badala yake wanatumia political emotions.

1)Bomba la mafuta la Uganda
2)Bomba la mafuta toka Turkana
3)SGR
4)BRT
5)Ukuta katika mpaka na Somalia
6)5 big modern stadia
7)Laptop per child
8)Super highway Mombasa to Nairobi
9)Crude oil refinery
10) Next please........
Yaani huwezi waona wakileta news kama hii 😂😂😂
 
Wajigamba na projects za Kenya wakati ambapo buagamoyo na oil pipeline nimekwama?
 
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza rasmi kwamba, Kenya haitojenga kiwanda cha kusafisha mafuta yake kutoka Turkana(crude oil refinery) badala yake watasafirisha mafuta hayo kama "crude", kutokana na uchache wa mafuta yaliyogunduliwa.

Hili ni pigo lingine kwa majirani zetu katika miongoni mwa mapigo Mengi yatakayotokea kutokana na mipango mibovu Sana ya nchi yao. David Ndii amekua akiwapigia sana kelele kutokana na kuanzisha miradi bila kuangalia " economic viability" badala yake wanatumia political emotions.

1)Bomba la mafuta la Uganda
2)Bomba la mafuta toka Turkana
3)SGR
4)BRT
5)Ukuta katika mpaka na Somalia
6)5 big modern stadia
7)Laptop per child
8)Super highway Mombasa to Nairobi
9)Crude oil refinery
10) Next please........
11) Tablet for each child
 
Back
Top Bottom