Baada ya Shekhe Mkuu wa Dar es Salaam kutenguliwa kituo kinachofuata ni Dkt. Malasusa

Baada ya Shekhe Mkuu wa Dar es Salaam kutenguliwa kituo kinachofuata ni Dkt. Malasusa

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Natabiri kuzalishwa kwa migogoro ya kidini itakayowaandama na kuwavunjia heshima viongozi wote WA Dini walioacha Dini awamu ya tano na kusimama kidete na watesi wa waumini wao.

Kuna kamati iliitwa kamati ya Amani ya Dar , ilikuwa na Sura ya kidini lakini mwoneoano wa kisiasa. NI kamati ambayo kwao Amani ilikuwa kumsaidia binadamu kuwepo hapo alipo wakipambana na wakosoaji.

Karma is there, wanaweza wakadhani viapo vyao vya Dini nivyakidunia lakini Mwenyenzi Mungu ataanza kuwakumbusha warejee kwake. Dkt. Malasusa na viongozi wengine wa Dini walioongozwa na Paulo yawapasa kukiri sirini au adharani. Mlikosa Sana, mlikosa Sana. Mlikosa Sana.

Kuondolewa kwa Shekhe Mkuu wa DSM ni ishara kwamba sasa mliowatesa nao wanapanga safu zao kwenye nyumba za ibada. Mlioshindwa kuwasemea Zama zile Leo hii nao wanatafuta pakuwasema. Jiandaeni kisaikologia. Tubuni
 
Tuandae popcorn za kutosha, patanoga
 
Nani wa kumtoa Malasusa?unajua ata historia ya Kanisa la KKKT?Ilo Kanisa lilianzia uinjilishaji katika ardhi ya Unyakyusa na baadaye kusambaa maeneo mengine mpaka uko uchagani!
Kimaro alijaribu kukumbatia Mbuyu yuko wapi?
 
Nani wa kumtoa Malasusa?unajua ata historia ya Kanisa la KKKT?Ilo Kanisa lilianzia uinjilishaji katika ardhi ya Unyakyusa na baadaye kusambaa maeneo mengine mpaka uko uchagani!
Kimaro alijaribu kukumbatia Mbuyu yuko wapi?
 
Nani wa kumtoa Malasusa?unajua ata historia ya Kanisa la KKKT?Ilo Kanisa lilianzia uinjilishaji katika ardhi ya Unyakyusa na baadaye kusambaa maeneo mengine mpaka uko uchagani!
Kimaro alijaribu kukumbatia Mbuyu yuko wapi?
Kwahiyo kanisa ni mali ya wanyakyusa
 
Natabiri kuzalishwa kwa migogoro ya kidini itakayowaandama na kuwavunjia heshima viongozi wote WA Dini walioacha Dini awamu ya tano na kusimama kidete na watesi wa waumini wao.

Kuna kamati iliitwa kamati ya Amani ya Dar , ilikuwa na Sura ya kidini lakini mwoneoano wa kisiasa. NI kamati ambayo kwao Amani ilikuwa kumsaidia binadamu kuwepo hapo alipo wakipambana na wakosoaji.

Karma is there, wanaweza wakadhani viapo vyao vya Dini nivyakidunia lakini Mwenyenzi Mungu ataanza kuwakumbusha warejee kwake. Dkt. Malasusa na viongozi wengine wa Dini walioongozwa na Paulo yawapasa kukiri sirini au adharani. Mlikosa Sana, mlikosa Sana. Mlikosa Sana.

Kuondolewa kwa Shekhe Mkuu wa DSM ni ishara kwamba sasa mliowatesa nao wanapanga safu zao kwenye nyumba za ibada. Mlioshindwa kuwasemea Zama zile Leo hii nao wanatafuta pakuwasema. Jiandaeni kisaikologia. Tubuni
Baba yake na Malasusa ndiye aliyekuwa mwenye kanisa lake, hawawezi kumtoa yule. Ila naamin Malasusa ndo chanzo cha migogoro mingi pale
 
Natabiri kuzalishwa kwa migogoro ya kidini itakayowaandama na kuwavunjia heshima viongozi wote WA Dini walioacha Dini awamu ya tano na kusimama kidete na watesi wa waumini wao.

Kuna kamati iliitwa kamati ya Amani ya Dar , ilikuwa na Sura ya kidini lakini mwoneoano wa kisiasa. NI kamati ambayo kwao Amani ilikuwa kumsaidia binadamu kuwepo hapo alipo wakipambana na wakosoaji.

Karma is there, wanaweza wakadhani viapo vyao vya Dini nivyakidunia lakini Mwenyenzi Mungu ataanza kuwakumbusha warejee kwake. Dkt. Malasusa na viongozi wengine wa Dini walioongozwa na Paulo yawapasa kukiri sirini au adharani. Mlikosa Sana, mlikosa Sana. Mlikosa Sana.

Kuondolewa kwa Shekhe Mkuu wa DSM ni ishara kwamba sasa mliowatesa nao wanapanga safu zao kwenye nyumba za ibada. Mlioshindwa kuwasemea Zama zile Leo hii nao wanatafuta pakuwasema. Jiandaeni kisaikologia. Tubuni
Ndio mipango yenu hiyo? Kwamba sahizi mtoe hao muweke wa kumpigia propaganda huyu Bi Chau? Mmejipanga kwenda mpaka umbali gani?
 
Natabiri kuzalishwa kwa migogoro ya kidini itakayowaandama na kuwavunjia heshima viongozi wote WA Dini walioacha Dini awamu ya tano na kusimama kidete na watesi wa waumini wao.

Kuna kamati iliitwa kamati ya Amani ya Dar , ilikuwa na Sura ya kidini lakini mwoneoano wa kisiasa. NI kamati ambayo kwao Amani ilikuwa kumsaidia binadamu kuwepo hapo alipo wakipambana na wakosoaji.

Karma is there, wanaweza wakadhani viapo vyao vya Dini nivyakidunia lakini Mwenyenzi Mungu ataanza kuwakumbusha warejee kwake. Dkt. Malasusa na viongozi wengine wa Dini walioongozwa na Paulo yawapasa kukiri sirini au adharani. Mlikosa Sana, mlikosa Sana. Mlikosa Sana.

Kuondolewa kwa Shekhe Mkuu wa DSM ni ishara kwamba sasa mliowatesa nao wanapanga safu zao kwenye nyumba za ibada. Mlioshindwa kuwasemea Zama zile Leo hii nao wanatafuta pakuwasema. Jiandaeni kisaikologia. Tubuni
Binadamu anapotembea kawaida mikono hurushwa mbele na nyuma kadri aendavyo.
Fisi akiona hivyo anafuata kwa nyuma akisubiri mkono uanguke na apate furushi la steki.

Mtoa mada ni fisi mtu, endelea kusubiri, pengine mkono wa binadamu utaanguka.
 
Natabiri kuzalishwa kwa migogoro ya kidini itakayowaandama na kuwavunjia heshima viongozi wote WA Dini walioacha Dini awamu ya tano na kusimama kidete na watesi wa waumini wao.

Kuna kamati iliitwa kamati ya Amani ya Dar , ilikuwa na Sura ya kidini lakini mwoneoano wa kisiasa. NI kamati ambayo kwao Amani ilikuwa kumsaidia binadamu kuwepo hapo alipo wakipambana na wakosoaji.

Karma is there, wanaweza wakadhani viapo vyao vya Dini nivyakidunia lakini Mwenyenzi Mungu ataanza kuwakumbusha warejee kwake. Dkt. Malasusa na viongozi wengine wa Dini walioongozwa na Paulo yawapasa kukiri sirini au adharani. Mlikosa Sana, mlikosa Sana. Mlikosa Sana.

Kuondolewa kwa Shekhe Mkuu wa DSM ni ishara kwamba sasa mliowatesa nao wanapanga safu zao kwenye nyumba za ibada. Mlioshindwa kuwasemea Zama zile Leo hii nao wanatafuta pakuwasema. Jiandaeni kisaikologia. Tubuni
Wachungaji watachinja n'gombe 100, mnyanyasaji sana na pia anaiba Mali za kanisa.

Yeye na sheikh Mussa wanajifanyaga eti ni vitengo ili waogopwe
 
Nani wa kumtoa Malasusa?unajua ata historia ya Kanisa la KKKT?Ilo Kanisa lilianzia uinjilishaji katika ardhi ya Unyakyusa na baadaye kusambaa maeneo mengine mpaka uko uchagani!
Kimaro alijaribu kukumbatia Mbuyu yuko wapi?
Huu upumbavu KKKT ilianzia mbeya!!!? So mwanzilishi wa KKKT martine luther ni mnyakyusa?
 
Natabiri kuzalishwa kwa migogoro ya kidini itakayowaandama na kuwavunjia heshima viongozi wote WA Dini walioacha Dini awamu ya tano na kusimama kidete na watesi wa waumini wao.

Kuna kamati iliitwa kamati ya Amani ya Dar , ilikuwa na Sura ya kidini lakini mwoneoano wa kisiasa. NI kamati ambayo kwao Amani ilikuwa kumsaidia binadamu kuwepo hapo alipo wakipambana na wakosoaji.

Karma is there, wanaweza wakadhani viapo vyao vya Dini nivyakidunia lakini Mwenyenzi Mungu ataanza kuwakumbusha warejee kwake. Dkt. Malasusa na viongozi wengine wa Dini walioongozwa na Paulo yawapasa kukiri sirini au adharani. Mlikosa Sana, mlikosa Sana. Mlikosa Sana.

Kuondolewa kwa Shekhe Mkuu wa DSM ni ishara kwamba sasa mliowatesa nao wanapanga safu zao kwenye nyumba za ibada. Mlioshindwa kuwasemea Zama zile Leo hii nao wanatafuta pakuwasema. Jiandaeni kisaikologia. Tubuni
UPO SAHIHI WOTE NI MACHAWA WA MWENDAZAKE
 
Ukiwa na urafiki nao siku zote hawana shida nawe, ukitaka uondoke, nenda kinyume na matakwa yao.
 
Nani wa kumtoa Malasusa?unajua ata historia ya Kanisa la KKKT?Ilo Kanisa lilianzia uinjilishaji katika ardhi ya Unyakyusa na baadaye kusambaa maeneo mengine mpaka uko uchagani!
Kimaro alijaribu kukumbatia Mbuyu yuko wapi?
Unauliza Nani wa kumtoa Malasusa?
Mwendazake Yuko wapi? Kulikua na wa kumtoa mwendazake? Hata katiba isingeweza.
 
Ninapozungumzia Malasusa nazungumzia wajumbe wa kamati ya Amani chini ya Makonda.

Ninayoyasikia yalitendeka wakiwa wajumbe wa kamati ya Amani yananifanya nijiulize NI kweli ilikuwa kamati ya Amani?

Hazijawahi kusikika ikihubiri maridhiano,kukemea mauaji, kukemea unyang'anyi nk means waliona uovu wakauunga mkono. Mungu amechukizwa nao, wanaweza wakatibu au wakashupaza shingo
 
Back
Top Bottom