Baada ya siku tatu ya mumewe kuoza na kuanza kunuka, mke avunja masharti ya mganga na kupiga kelele

Maskini wamezika mtu mzima kabisa.

Inatakiwa mwanaume kabla hujafikiria kwenda kwa mganga basi uwe umemchunguza sana yaani vyakutosha mkeo uwe na uhakika aslimia 100 juu ya ujasiri wake wakukabiliana mambo mazito mazito kiufupi sharti lile ni zito haswa na lilihitaji mwanamke mwenye ujasiri haswaa
 
Hili limama lijinga sana unamlilia baba ako huyo
 
Huyo mwanamke mshenzi kwa nini hakusubiri Siku 7 ziishe kama walivyokubaliana na mganga njaa
 
ajali kazini, nipe code ya kwamganga kabla hawajaenda kumchukua.. manka wangu hawezi kuniangusha.
 
Wanawake ndio sio watu wakuwaamini kwenye michongo ona sasa kamchomesha mwana
 
Hio ishu bora angefanya na mdogo wake au kaka yake man to man [emoji3]

Delila alimponza Samson jinsia ke si watu wa kuamini japo ni Dada zetu na mama zetu tunawaheshimu

Halafu.tuache kutafuta shortcut za maisha mpaka mtu unaenda kwenye juju
Duuh
 
= majirani.
 
Hadithi nzuri!

Ili uwachukize watoto wa kichaga jaribu hii!

Shemeji nimeipata ile namba ya mtaalamu Yule aliye nisaidia shida zangu hii hapa 0617146864 mpgie mzee atakusaidia matatizo ulio nieleza malipo baada ya tiba
 
Ili uwachukize watoto wa kichaga jaribu hii!/Ili demu wa kichaga akuelewe tekeleza huu ujumbe kwa asilimia 100

Shemeji nimeipata ile namba ya mtaalamu Yule aliye nisaidia shida zangu hii hapa 0617146864 mpgie mzee atakusaidia matatizo ulio nieleza malipo baada ya tiba
 
Kilitokea nin
 
Bila hata picha ya msibani au huyo mke hii story ni Chit Chat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…