Baada ya Simba SC Kuchemka kwa Mbeya City FC leo tegemeeni yafuatayo ili kuwazuga mashabiki wa Msimbazi

Baada ya Simba SC Kuchemka kwa Mbeya City FC leo tegemeeni yafuatayo ili kuwazuga mashabiki wa Msimbazi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wameshajua tayari kuwa sare ya leo imewakwaza wana Simba SC wengi kwani sasa pengo kama Yanga SC itashinda mechi zake na kuwa sawa kimichezo na Simba SC itakuwa ni alama (Points ) saba (7) kamili.

Hivyo basi GENTAMYCINE natabiri kuanzia kesho Alhamisi ili kutuzuga wana Simba SC (Mbumbumbu Ngada FC) na kushusha hasira zetu, yafuatayo yataanza kujiri. Na kwakuwa wameshatujua kuwa ni majuha (mambumbumbu) sote tutasahau machungu ya haya matokeo na kuendelea kuunga mkono uongozi wa hovyo, wezi na wa kinafiki wa Simba SC.

1. Tutangaziwa Kocha Mkuu mpya mbovu.

2. Wahariri wa magazeti makubwa ya michezo nchini Mwanaspoti na Championi watapewa bahasha (hongo) ili wafululize kuandika habari za uzushi na uongo za kusajiliwa akina Adebayor, kurejea kwa Miquissone na Ceaser Lobi Manzoki.

3. Udhamini mpya na mnono kwa Klabu.

Yanga SC ni bingwa tena 2022/2023 katika Second Edition ya NBC Premier League na atakayenibishia hili GENTAMYCINE akapimwe akili upesi Milembe (Dodoma) au Lutindi (Tanga) ili aanze haraka matibabu yake.
 
Nimesoma nimekosa Cha kuandika.

ILA SIMBA INASIKITISHA SANA.

TABIA ZA BOSS KUSUSA WAKATI WA USAJILI NI USHAMBA.

Wachezaji Wana quality ndogo mno.

Sakho.
Banda.
Okwa.
Dejan.
Akpan.
Kanute.
Onyango.
Ottara.

Hawa wachezaji hawastahili kucheza Simba.
 
Nimesoma nimekosa Cha kuandika.

ILA SIMBA INASIKITISHA SANA.

TABIA ZA BOSS KUSUSA WAKATI WA USAJILI NI USHAMBA.

Wachezaji Wana quality ndogo mno.

Sakho.
Banda.
Okwa.
Dejan.
Akpan.
Kanute.
Onyango.
Ottara.

Hawa wachezaji hawastahili kucheza Simba.
Dejan hayupo
 
Wameshajua tayari kuwa Sare ya Leo imewakwaza wana Simba SC Wengi kwani sasa Gap kama Yanga SC itashinda Mechi zake na kuwa sawa Kimichezo na Simba SC itakuwa ni Alama ( Points ) Saba ( 7 ) Kamili.

Hivyo basi GENTAMYCINE natabiri kuanzia Kesho Alhamisi ili Kutuzuga wana Simba SC ( Mbumbumbu Ngada FC ) na Kushusha Hasira zetu yafuatayo yataanza Kujiri na kwakuwa wameshatujua kuwa ni Majuha ( Mambumbumbu ) sote tutasahau Machungu ya haya Matokeo na kuendelea Kuunga mkono Uongozi wa hovyo, Wezi na wa Kinafiki wa Simba SC.....

1. Tutangaziwa Kocha Mkuu mpya Mbovu.

2. Wahariri wa Magazeti makubwa ya Michezo nchini Mwanaspoti na Championi watapewa Bahasha ( Hongo ) ili wafululize Kuandika Habari za uzushi na Uwongo za Kusajiliwa akina Adebayor, kurejea kwa Miquissone na Ceaser Lobi Manzoki.

3. Udhamini mpya na mnono kwa Klabu.

Yanga SC ni Bingwa tena 2022 / 2023 katika Second Edition ya NBC Premier League na atakayenibishia hili GENTAMYCINE akapimwe Akili upesi Milembe ( Dodoma ) au Lutindi ( Tanga ) ili aanze haraka Matibabu yake.
Mwekezaji alishahamia kwenye ndoige peleso peleso ( ngumi).
 
Nimesoma nimekosa Cha kuandika.

ILA SIMBA INASIKITISHA SANA.

TABIA ZA BOSS KUSUSA WAKATI WA USAJILI NI USHAMBA.

Wachezaji Wana quality ndogo mno.

Sakho.
Banda.
Okwa.
Dejan.
Akpan.
Kanute.
Onyango.
Ottara.

Hawa wachezaji hawastahili kucheza Simba.
Sakho huyu huyu anaeliliwa na wasenegal akazibe nafasi ya sadio?
 
#THROWBACK

1- KINDOKI..
2- PAUL GODFREY.
3- MASHOTO..
4- DANTE
5- YONDAN..
6- TSHIMBI..
7- NGASA
8- MAKA EDWAD..
9- MAKAMBO..
10 - AJIBU..
11- MOLINGA..

Yanga mbovu kuwahi kutokea tangu Tanganyika iwe Tanzania..
Lawama kila siku kwa waamuzi na TFF.. Wachezaji waligoma kila uchwao.. Maisha magumu, watumishi wa hii taasisi kubwa Tanzania na Afrika walikopwa mishahara yao. Ikafika hatua bakuli likatembezwa ili kupatikane chochote kitu.

Club kila mechi ina jezi mpya, watu walichuma pesa kupitia nembo ya Yanga SC.. Uhuni, umafia ulitumika kuchuma pesa za watu wenye mapenzi wa timu yao. Lakini baadaye nuru ikaangaza gizani, mvua ikanyesha kwenye ukame. Mbazi ikamea jangwani.
Timu ikajengwa zaidi ya mara tatu ikawa ina bomoka.. Wachezaji wa buku jero wasio na hadhi wakaondolewa. Mwiko kukata tamaa.. Hivi sasa hakuna hakuna timu inayo tamani kukutana na Yanga wala hakuna mchezaji asiye penda kucheza Yanga.
Adui akikushinda ungana naye, porojo za kwamba Yanga ananunua mechi hazito kusaidia chochote. wachezaji aina ya Kibu Denis hawawezi kukupa ubingwa.
Utaishia kulia lia huku wahuni wakiendelea kugonga mvinyo kwenye timu yenu. Siku mtakuja kukumbuka shuka kumekucha wakati huo Yanga wana makombe 60 kabatini na makombe matatu ya kimataifa.

Kalaga baho..
 
Nimesoma nimekosa Cha kuandika.

ILA SIMBA INASIKITISHA SANA.

TABIA ZA BOSS KUSUSA WAKATI WA USAJILI NI USHAMBA.

Wachezaji Wana quality ndogo mno.

Sakho.
Banda.
Okwa.
Dejan.
Akpan.
Kanute.
Onyango.
Ottara.

Hawa wachezaji hawastahili kucheza Simba.
Tukiongea tunaonekana wachawi
 
Wameshajua tayari kuwa Sare ya Leo imewakwaza wana Simba SC Wengi kwani sasa Gap kama Yanga SC itashinda Mechi zake na kuwa sawa Kimichezo na Simba SC itakuwa ni Alama ( Points ) Saba ( 7 ) Kamili.

Hivyo basi GENTAMYCINE natabiri kuanzia Kesho Alhamisi ili Kutuzuga wana Simba SC ( Mbumbumbu Ngada FC ) na Kushusha Hasira zetu yafuatayo yataanza Kujiri na kwakuwa wameshatujua kuwa ni Majuha ( Mambumbumbu ) sote tutasahau Machungu ya haya Matokeo na kuendelea Kuunga mkono Uongozi wa hovyo, Wezi na wa Kinafiki wa Simba SC.....

1. Tutangaziwa Kocha Mkuu mpya Mbovu.

2. Wahariri wa Magazeti makubwa ya Michezo nchini Mwanaspoti na Championi watapewa Bahasha ( Hongo ) ili wafululize Kuandika Habari za uzushi na Uwongo za Kusajiliwa akina Adebayor, kurejea kwa Miquissone na Ceaser Lobi Manzoki.

3. Udhamini mpya na mnono kwa Klabu.

Yanga SC ni Bingwa tena 2022 / 2023 katika Second Edition ya NBC Premier League na atakayenibishia hili GENTAMYCINE akapimwe Akili upesi Milembe ( Dodoma ) au Lutindi ( Tanga ) ili aanze haraka Matibabu yake.
Siku ukija Lutindi kupima afya yako ya akili, nitakulipia kila kitu! Yaani kila kitu utalipiwa.
 
Wameshajua tayari kuwa Sare ya Leo imewakwaza wana Simba SC Wengi kwani sasa Gap kama Yanga SC itashinda Mechi zake na kuwa sawa Kimichezo na Simba SC itakuwa ni Alama ( Points ) Saba ( 7 ) Kamili.

Hivyo basi GENTAMYCINE natabiri kuanzia Kesho Alhamisi ili Kutuzuga wana Simba SC ( Mbumbumbu Ngada FC ) na Kushusha Hasira zetu yafuatayo yataanza Kujiri na kwakuwa wameshatujua kuwa ni Majuha ( Mambumbumbu ) sote tutasahau Machungu ya haya Matokeo na kuendelea Kuunga mkono Uongozi wa hovyo, Wezi na wa Kinafiki wa Simba SC.....

1. Tutangaziwa Kocha Mkuu mpya Mbovu.

2. Wahariri wa Magazeti makubwa ya Michezo nchini Mwanaspoti na Championi watapewa Bahasha ( Hongo ) ili wafululize Kuandika Habari za uzushi na Uwongo za Kusajiliwa akina Adebayor, kurejea kwa Miquissone na Ceaser Lobi Manzoki.

3. Udhamini mpya na mnono kwa Klabu.

Yanga SC ni Bingwa tena 2022 / 2023 katika Second Edition ya NBC Premier League na atakayenibishia hili GENTAMYCINE akapimwe Akili upesi Milembe ( Dodoma ) au Lutindi ( Tanga ) ili aanze haraka Matibabu yake.
Nimechoka na simba hii...
Msimu huu siendi mpirani mechi hata moja...
 
Nimesoma nimekosa Cha kuandika.

ILA SIMBA INASIKITISHA SANA.

TABIA ZA BOSS KUSUSA WAKATI WA USAJILI NI USHAMBA.

Wachezaji Wana quality ndogo mno.

Sakho.
Banda.
Okwa.
Dejan.
Akpan.
Kanute.
Onyango.
Ottara.

Hawa wachezaji hawastahili kucheza Simba.
Ila ni sisi mashabiki tulisababisha akakaa pembeni

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom