Nimekuwa nikiteseka na Tatizo la kukosa choo wiki mbili Hadi tatu mfululizo na ndiyo maana mchana Huwa napiga pasi ndefu na watu wengi Huwa wananishangaa kwanini sili mchana naishia kuwadanganya nimeshiba lakini najua naumwa.
Lakini Dua zangu zimejibiwa na sasa nimepata suluhisho na suluhisho ni hili:Kila Jumamosi usiku nitakuwa nameza tembe Kumi ya dawa za Bisacodyl za kuharisha taka taka zote za wiki nzima na nitafanya hivi mpaka ntakapopata mkombozi wangu.
Lakini Dua zangu zimejibiwa na sasa nimepata suluhisho na suluhisho ni hili:Kila Jumamosi usiku nitakuwa nameza tembe Kumi ya dawa za Bisacodyl za kuharisha taka taka zote za wiki nzima na nitafanya hivi mpaka ntakapopata mkombozi wangu.