hako katoto katakua ni kajanja hyo ndio means aliyoichagua ili amchune huyo dem vizur. ukute hapo hata hajapagawa na hilo penzi wala nn. Ukiwa mvivu wa kufanya kazi lazima uwe mbunifu kama yy anavyomchuna hyo dem. Mjini hapa
Sie tunawasikilizia tu siku wakimwagana na hivi Shilole hua hafichi kitu,au anaona sifa hizo tattoo ninii
Wachekaji tupo tu mwanzo mwishooo kwa hiyo Nuhu ajiandaee
Mara mtasikia dinazarde ana tatoo ya lolowapi shingoni kama ya wema.
Mara mtasikia dinazarde ana tatoo ya lolowapi shingoni kama ya wema.
hahahah yaan umenichekesha Sana .lkn si nimwanamuziki yule au muziki haujamtoa?Yani huwa nakaonea huruma maana naona ugumu wa maisha au kutaka mambo makubwa ndio unamfanya awe vile.Hata hilo apple mpaka hela apewe na bi mkubwa
hahahah yaan umenichekesha Sana .lkn si nimwanamuziki yule au muziki haujamtoa?
Kweli kanaweza kakawa kametumia akili kuishi mjini!
Watanisikia wapi sasa wakati upo huko Hungumarwa huko
Kuna watu wana kera huyu jamaa siku ya ijumaa alinikera sana! Halafu nimegundua anahitaji kuongelewa ndio maana! Yani ndugu zake wanalia kila muda unaweza kukuta!
Halafu kakasema kanategemea kumvisha Pete Shilole soon!
Watanisikia wapi sasa wakati upo huko Hungumarwa huko
How old is that Serengeti Boy Mziwanda? Is he not Shilole's child age mate?
Naona 0713 ya shishi beybee imemkolea hadii kaamua kujichola duuh!??