It's called Post Coital Tristesse (PCT). It is a common 'condition', inatokea kwa wanaume zaidi ila hata wanawake huwatokea. Kuna maelezo mbali mbali kuhusina na hilo, moja ikiwa: you are tense and focussed before sex, you think too much about it and all you want is to have sex for your pleasure. Sasa ukisha pata ulicho taka ndio unakumbuka mambo mengine yote kama mapenzi yako kwa muhusika (or lack thereof), kazi zako ulizo ziacha pending, efforts ulizo invest katika kuhakikisha unapata sex etc. That is what makes you sad. Na ukitoka 'eneo latukio' na kuanza kujishughulisha tena, unahisi sadness (tristesse) inaisha pole pole.
A solution would be to think about the aftermath of the sexual intercause before it happens. Just plan to go out with her, au panga maongezi before you have sex. Pia don't stop doing anything important just because you don't want to miss the oppportunity of having sex.
Unaweza kupitia hapa kwa maongezi kuhusi hiyo 'condition' (which is not so much of a condition nadhani):
Sadness After Sex is a Real Condition
Mimi nikishamaliza hua nahitaji nipewe tena na tena,
hata nilikwenda kwa Babu nikanywa kikombe hali hiyo inipungukie sasa ndiyo imeongezeka,
sindwa kusangaa!
mimi nikishamaliza hua nahitaji nipewe tena na tena,
hata nilikwenda kwa babu nikanywa kikombe hali hiyo inipungukie sasa ndiyo imeongezeka,
sindwa kusangaa!
mimi huwa naunganisha bao mbili kwa moja na nikimaliza macho makavu yeye ndo anajificha,chezeyaaa mimi
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?
ngoja nimuulize husninyo kama kweli au kamba tu!
hapo kwenye Bold tuko pamoja
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?
ndugu zangu na marafiki leo nimeona bora nizungumzie juu ya mambo ambayo nakutana nayo niwapo na mwenzi wangu. Mwenzenu ninapokuwa na mpenzi kama kama kawaida yetu sisi wanaume kuomba penzi lakini nimalizapo ku do naye huwa najisikia aibu nakosa neno la kuongea naye wakati mwingine huwa najilaumu hivi kwa nini nafanya haya je wenzangu mnajisikiaje mmalizapo ku do?
Duuuuh lakini mshikaji na wewe ni mkali, yaani the first post unauliza ngono hata ukaribisho hutaki. Nadhani majibu sahihi umeshayapata kupitia kwa RR na wengine lakini hodi muhimu.
Mimi nikishamaliza hua nahitaji nipewe tena na tena,
hata nilikwenda kwa Babu nikanywa kikombe hali hiyo inipungukie sasa ndiyo imeongezeka,
sindwa kusangaa!