Baada ya Trump kujitoa WHO, kwa mara ya kwanza nikaamua kupima VVU na haya ndo majibu

Baada ya Trump kujitoa WHO, kwa mara ya kwanza nikaamua kupima VVU na haya ndo majibu

sputnik

Member
Joined
Feb 2, 2025
Posts
58
Reaction score
81
Baada ya hofu kwa muda mrefu, jana nkaamua kujilipua. Namshukuru Mungu nipo salama, nashauri tu tucheze salama hali inaenda kuwa mbaya baada ya USA kujitoa kwenye mashirika ya afya.

20250202_194438.jpg
 
Baada ya hofu kwa muda mrefu..jana nkaamua kujilipua....namshukuru Mungu nipo salama....nashauri tu tucheze salama Hali inaenda kuwa mbaya baada ya USA kujitoa kweny mashirika ya afya
Kwa vile huna ndo umekuja kuonesha hapa! Ungekuwa positive unaweza kupotea njia kurudi ulikotoka!
 
Kwa vile huna ndo umekuja kuonesha hapa! Ungekuwa positive unaweza kupotea njia kurudi ulikotoka!
Ni kwel mkuu ..sema ujasir wa kupima umekuja baada ya DT kupiga ban mashirika ya misaada
 
Anza kupiga pumb.u kila malaya unaekutana nae sasa
 
Back
Top Bottom