Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vile huna ndo umekuja kuonesha hapa! Ungekuwa positive unaweza kupotea njia kurudi ulikotoka!Baada ya hofu kwa muda mrefu..jana nkaamua kujilipua....namshukuru Mungu nipo salama....nashauri tu tucheze salama Hali inaenda kuwa mbaya baada ya USA kujitoa kweny mashirika ya afya
Ni kwel mkuu ..sema ujasir wa kupima umekuja baada ya DT kupiga ban mashirika ya misaadaKwa vile huna ndo umekuja kuonesha hapa! Ungekuwa positive unaweza kupotea njia kurudi ulikotoka!
Naenda kusitisha rasm ulaji mbususu holelaAcha uoga ndugu, tafuna mbususu kadili unavyoweza.
Hapana...Ila ndo alikuwa sponsor mkuu wa like karanga...sasa kuadimika kwake italeta balaaKwamba ukimwi unamuogopa Trump?
Aah...amini tu due siwez kuthibitisha kwa sasa due nlifanya hyo rapid test janaThibitisha ni damu yako.
I'll nitafute nini huko mkuu?Anza kupiga pumb.u kila malaya unaekutana nae sasa