alikuwa njia panda, kusuka au kunyoa?
sasa ameamua kusuka, mwambie best yako ampokee kwa mikono miwili...
No, nimemwambie amkaushie kwanza mpaka wana JF watoe ushauri japo mpaka hapa naona inabidi atemwe fasta, na simu zake hakuna kupokea ila gift apokee kwa ajili ya kupunguza maumivu ya kukaushiwa two months.
Au mnasemaje?
Hana lolote mchafuzi tu huyo Ronny,katoswa huko alikokuwa ndio anamuona huyo dada!
Yani mwambie huyo dada amfukuze huyo bazazi km kibaka aliyetaka kumuuibia walet!
Yani asimpe hata sekunde ya kumsikiliza ni tapeli tu huyo,yani hapo amekuja hit na akimbie tena!