Baada ya Tunisia kuanzia sasa Yanga SC itavaa jezi nyeusi tu iwe ndani au nje kwa maelekezo ya mganga hatari

Baada ya Tunisia kuanzia sasa Yanga SC itavaa jezi nyeusi tu iwe ndani au nje kwa maelekezo ya mganga hatari

Timu inashinda kwa nyota kali za majina ya wachepushaji wakubwa waliyoichezea na ambao wameweka saini zao.

Imeisha hiyo.
Najua umeandika huku ukiwa na mafindo findo kooni yaliyojawa na wivu wa Yanga kufanya vizuri kwa kuwa na performance ya hali ya juu wakiwa na uzi wao mweusi. Hili sio kwa maelekezo ya Mganga bali tu ni mitazamo ya watu tunaona ni moja ya jezi yenye bahati kwa Yanga pindi wavaliyapo uzi wao mkali kabisa mweusi.
Umeandika ili kuitoa relini Yanga kwa maamuzi yao kuvaa hiyo jezi, ila hilo umechemka Yanga tunachotaka matokeo tu na soka safi kabisa, wewe hata ukisema kwa maelekezo ya Nabii Tito utajua wewe na roho yako.
 
Nasikia na wanajeshi wa drc wanavaa kombati nyeusi
 
Ww mech zakp za matopen tu eeeh,mbona sikuona kule uzi wa world cup
 
NA BADO
JamiiForums-1557103184.gif
 
Back
Top Bottom