Baada ya twitter kuitwa X, imepoteza mvuto

Baada ya twitter kuitwa X, imepoteza mvuto

Mtanzania2020

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2020
Posts
817
Reaction score
1,752
Toka Ellon Musk abadilishe mtandao wa twitter na kuuita X umepoteza mvuto kabisa.

Hapo mwanzo niliipenda sana twitter ila sasa acha niachane nayo. Muda mwingi notifications za twitter zinakuja nakuta icons 'X' zimekuwa nyingi kwenye notifications bar.

Screenshot_20230819_100533_One UI Home.jpg



Mwanzo tulikuwa tunakuta icon ya twitter kama ndege flani hivi, ila sasa kuna bonge la X

Screenshot_20230819_100601_X.jpg


Sisi mimi tu, tupo wengi tulioacha kuipenda twitter

 
Mvuto na ubaya wa X upo kwenye wewe na followers wako mkuu. What you post, what you follow, what you retweet and what you like best reflects you. X(Twitter) imezidi kuwa deal boss na sasa wana wanaendelea kula midollar ya Elon Mask
 
Back
Top Bottom