Pre GE2025 Baada ya uchaguzi, namshauri Mbowe aanze na hili (akiwa kama Mwenyekiti kwa awamu nyingine)

Pre GE2025 Baada ya uchaguzi, namshauri Mbowe aanze na hili (akiwa kama Mwenyekiti kwa awamu nyingine)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Kuanzia jana nimekuwa mtu mwenye furaha sana baada ya Mama Dr Samia kumaliza biashara mapema sana kuhusu urais wa Tanzania kwenye huu mwaka wa uchaguzi. Mama kawamaliza kisiasa wapinzani wa nje na ndani ya CCM waliokuwa wanaeneza uzushi kuwa 2025 kutakuwa na mwanachama mwingine wa CCM atakayechukua fomu ya urais. Suala la urais limefungwa jana. 2025 - 2030 ni Dr Samia na Dr Nchimbi. Hakika mama ni jabali la siasa za Tanzania.

Nikirudi kwenye mada ni kuwa ninamshauri mwenyekiti wa kudumu wa chama rafiki CHADEMA ndugu Mbowe kuwa kipaumbele chake cha kwanza mara baada ya uchaguzi iwe NIDHAMU. Ahakikishe wanachama wanaheshimiana. Hali ngumu anayopitia kwa sasa ni matokeo ya yeye kufuga utovu wa nidhamu ndani ya chama. Azuie makada wa chama chake kutukana hovyo. Wajenge hoja badala ya matusi. Mwanachama wa kawaida kama Ntobi kumtukana makamu mwenyekiti taifa ni jambo ovu na la kushangaza sana.

Taasisi yenye watu wasio na nidhamu haiwezi kukua. CCM ya awamu ya Nne ilikuwa na tatizo linalofanana na la CHADEMA ila alivyoingia mwenyekiti hayati Magu hakuchekea upuuzi. Viongozi waliheshimika kuanzia ngazi ya chini hadi juu. Mama Samia naye kaendeleza suala la nidhamu. Hii imesaidia ilani kutekelezwa inavyotakiwa.
 
Kuanzia jana nimekuwa mtu mwenye furaha sana baada ya Mama Dr Samia kumaliza biashara mapema sana kuhusu urais wa Tanzania kwenye huu mwaka wa uchaguzi. Mama kawamaliza kisiasa wapinzani wa nje na ndani ya CCM waliokuwa wanaeneza uzushi kuwa 2025 kutakuwa na mwanachama mwingine wa CCM atakayechukua fomu ya urais. Suala la urais limefungwa jana. 2025 - 2030 ni Dr Samia na Dr Nchimbi. Hakika mama ni jabali la siasa za Tanzania.

Nikirudi kwenye mada ni kuwa ninamshauri mwenyekiti wa kudumu wa chama rafiki CHADEMA ndugu Mbowe kuwa kipaumbele chake cha kwanza mara baada ya uchaguzi iwe NIDHAMU. Ahakikishe wanachama wanaheshimiana. Hali ngumu anayopitia kwa sasa ni matokeo ya yeye kufuga utovu wa nidhamu ndani ya chama. Azuie makada wa chama chake kutukana hovyo. Wajenge hoja badala ya matusi. Mwanachama wa kawaida kama Ntobi kumtukana makamu mwenyekiti taifa ni jambo ovu na la kushangaza sana.

Taasisi yenye watu wasio na nidhamu haiwezi kukua. CCM ya awamu ya Nne ilikuwa na tatizo linalofanana na la CHADEMA ila alivyoingia mwenyekiti hayati Magu hakuchekea upuuzi. Viongozi waliheshimika kuanzia ngazi ya chini hadi juu. Mama Samia naye kaendeleza suala la nidhamu. Hii imesaidia ilani kutekelezwa inavyotakiwa.
Well said ,NIDHAMU ya Kazi ni Msingi wa mafanikio mema kazini ,Viongozi na wafanyakazi LAZIMA WOTE WAWE NA NIDHAMU.
 
Kikubwa ni Tanzania iwe na amani baada ya uchaguzi mengine ni mapungufu ya kibinadamu.
 
Kuanzia jana nimekuwa mtu mwenye furaha sana baada ya Mama Dr Samia kumaliza biashara mapema sana kuhusu urais wa Tanzania kwenye huu mwaka wa uchaguzi. Mama kawamaliza kisiasa wapinzani wa nje na ndani ya CCM waliokuwa wanaeneza uzushi kuwa 2025 kutakuwa na mwanachama mwingine wa CCM atakayechukua fomu ya urais. Suala la urais limefungwa jana. 2025 - 2030 ni Dr Samia na Dr Nchimbi. Hakika mama ni jabali la siasa za Tanzania.

Nikirudi kwenye mada ni kuwa ninamshauri mwenyekiti wa kudumu wa chama rafiki CHADEMA ndugu Mbowe kuwa kipaumbele chake cha kwanza mara baada ya uchaguzi iwe NIDHAMU. Ahakikishe wanachama wanaheshimiana. Hali ngumu anayopitia kwa sasa ni matokeo ya yeye kufuga utovu wa nidhamu ndani ya chama. Azuie makada wa chama chake kutukana hovyo. Wajenge hoja badala ya matusi. Mwanachama wa kawaida kama Ntobi kumtukana makamu mwenyekiti taifa ni jambo ovu na la kushangaza sana.

Taasisi yenye watu wasio na nidhamu haiwezi kukua. CCM ya awamu ya Nne ilikuwa na tatizo linalofanana na la CHADEMA ila alivyoingia mwenyekiti hayati Magu hakuchekea upuuzi. Viongozi waliheshimika kuanzia ngazi ya chini hadi juu. Mama Samia naye kaendeleza suala la nidhamu. Hii imesaidia ilani kutekelezwa inavyotakiwa.
Wewe peleka utaahira wako uko CHADEMA! CCM katika kipindi chochote kile hakijawahi kuwa na wanasiasa wa hovyo kama hawa wa CHADEMA wasiojua ni maana ya maadili!
Wanatukanana hovyo na hawana siri katika jambo lolote!
 
Wewe peleka utaahira wako uko CHADEMA! CCM katika kipindi chochote kile hakijawahi kuwa na wanasiasa wa hovyo kama hawa wa CHADEMA wasiojua ni maana ya maadili!
Wanatukanana hovyo na hawana siri katika jambo lolote!
Jomba umechanganyikiwa?
 
Kwahiyo kuwa na watu zaidi ya 1200 wasio na mawazo mbadala wakibaki tu kuinamisha vichwa na kusema zidumu fikra za mwenyekiti ndio nidhamu?
 
Kuanzia jana nimekuwa mtu mwenye furaha sana baada ya Mama Dr Samia kumaliza biashara mapema sana kuhusu urais wa Tanzania kwenye huu mwaka wa uchaguzi. Mama kawamaliza kisiasa wapinzani wa nje na ndani ya CCM waliokuwa wanaeneza uzushi kuwa 2025 kutakuwa na mwanachama mwingine wa CCM atakayechukua fomu ya urais. Suala la urais limefungwa jana. 2025 - 2030 ni Dr Samia na Dr Nchimbi. Hakika mama ni jabali la siasa za Tanzania.

Nikirudi kwenye mada ni kuwa ninamshauri mwenyekiti wa kudumu wa chama rafiki CHADEMA ndugu Mbowe kuwa kipaumbele chake cha kwanza mara baada ya uchaguzi iwe NIDHAMU. Ahakikishe wanachama wanaheshimiana. Hali ngumu anayopitia kwa sasa ni matokeo ya yeye kufuga utovu wa nidhamu ndani ya chama. Azuie makada wa chama chake kutukana hovyo. Wajenge hoja badala ya matusi. Mwanachama wa kawaida kama Ntobi kumtukana makamu mwenyekiti taifa ni jambo ovu na la kushangaza sana.

Taasisi yenye watu wasio na nidhamu haiwezi kukua. CCM ya awamu ya Nne ilikuwa na tatizo linalofanana na la CHADEMA ila alivyoingia mwenyekiti hayati Magu hakuchekea upuuzi. Viongozi waliheshimika kuanzia ngazi ya chini hadi juu. Mama Samia naye kaendeleza suala la nidhamu. Hii imesaidia ilani kutekelezwa inavyotakiwa.
Kwanini MACCM munamkubali sana mbowe kwenye uchaguzi huu?
 
CDM imeshaparaganyika, rasmi imekuwa kikundi cha Mbowe.
 
Back
Top Bottom