Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Achana na hawa UWTCcm hawa hawa waachie nchi ?
ππππUnatakiwa kuwa Mirembe haraka sn mkuu, njoo inbox nikusaidie no ya Dr bingwa wa pale
Tuendelee kusubiriUnatakiwa kuwa Mirembe haraka sn mkuu, njoo inbox nikusaidie no ya Dr bingwa wa pale
Mama ashajua upande upi wa kuegemeaCcm hawa hawa waachie nchi ?
Unawezaje kuota asubuhi yote hii?? Mpina atawanyoosha kwanzaCCM wakiongozwa na Mwenyekiti Mama Samia wameanza kukonga mioyo ya wafuasi wa hayati Magufuli kundi ambalo ni kundi kubwa kuliko yote ndani ya CCM na nje ya CCM - mitaani.
Ushauri kama Upinzani tunataka beba Nchi kitu ambacho kwa 2025 kina wezekana wazalendo wote kina Tundu Lissu, Mdude, Mwabukusi, Mbatia, Heche, Mnyika, Slaa na wengine wengi tuunge Nguvu pale NCCR mageuzi au Chama kipya hili litafanikiwa.
Sijataja CHADEMA sababu chama kama hakijawahi kuwa serious kuchukua dola na ikiachwa iende hivi ya 2005 yatajirudia, CCM itashinda kirahisi sana.
Siku njema.
Kwa sasa mama ashaanza cheza karata zake vizuriUnawezaje kuota asubuhi yote hii?? Mpina atawanyoosha kwanza
Mpina ataacha ashinde kesiUnawezaje kuota asubuhi yote hii?? Mpina atawanyoosha kwanza
Sio ndoto , tuendelee kusubiriUnawezaje kuota asubuhi yote hii?? Mpina atawanyoosha kwanza
Atalamba Joker huku mwingine anaita one last card.Kwa sasa mama ashaanza cheza karata zake vizuri
Hatari snππππ
Mpo wa ngapi?Tuendelee kusubiri
2005 alikuwa jk vs Mbowe ?Acha fix, CCM haijawahi kushinda uchaguzi wowote tangu 1995 - hata mwalimu kabla hajaondoka alilijua hilo.