Usedcountrynewpipo JF-Expert Member Joined Aug 1, 2012 Posts 3,636 Reaction score 2,728 May 8, 2016 #1 Hapa ndipo pana kazi... Marufuku ya kuingiza sabuni kutoka nje ya nchi, itafanya watu wapate sababu za kuto kuoga na wengine kutofua nguo hasa za 'ndani ya nchi'. Sipati picha mtafutano wake kwenye madala dala balaa hili likitokea.
Hapa ndipo pana kazi... Marufuku ya kuingiza sabuni kutoka nje ya nchi, itafanya watu wapate sababu za kuto kuoga na wengine kutofua nguo hasa za 'ndani ya nchi'. Sipati picha mtafutano wake kwenye madala dala balaa hili likitokea.
BigBro JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 3,585 Reaction score 11,601 May 8, 2016 #2 Hilo tangazo la marufuku sabuni za nje limetoka lini na wapi? Na unapotoa taarifa nyeti kama hizi, weka na source.
Hilo tangazo la marufuku sabuni za nje limetoka lini na wapi? Na unapotoa taarifa nyeti kama hizi, weka na source.
Usedcountrynewpipo JF-Expert Member Joined Aug 1, 2012 Posts 3,636 Reaction score 2,728 May 8, 2016 Thread starter #3 BigBro said: Hilo tangazo la marufuku sabuni za nje limetoka lini na wapi? Na unapotoa taarifa nyeti kama hizi, weka na source. Click to expand... Mkuu, hili ni jukwaa la jokes. Tuna simulate hali itakavyokuwa just in case this happens...
BigBro said: Hilo tangazo la marufuku sabuni za nje limetoka lini na wapi? Na unapotoa taarifa nyeti kama hizi, weka na source. Click to expand... Mkuu, hili ni jukwaa la jokes. Tuna simulate hali itakavyokuwa just in case this happens...