Baada ya ‘unsafe sex’ wanawake wengi hawajutii

Baada ya ‘unsafe sex’ wanawake wengi hawajutii

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Inaonekana wanawake hata ukienda nap kavukavu wenyewe wanakuwa na uhakika hawajali cha mimba Wala UKIMWI. Ukimuhitaji kavu unamnasa na ukitaka condom hawapendelei ni kama vile watatuua.

Tunaendelea kuona wanaume wakishafanya mapenzi kavu tu maswali yafuatayo ni je nimeambukizwa ngoma moja kwa moja asee waga tunakwama kifo cha UKIMWI sio njia nzuri wadau mnafahamu vizuri ila tatizo wakina dada wanaona UKIMWI ni kama malaria watu wanavua bikini kwa buku tano kaeni kimachale wadau utapewa kitu kikushinde.

Tumeshikwa hatuna ujanja ukiitiwa fursa ujue wewe ndo fursa kavu kavu ni balaa. Kufichinyiwa kwa ndani toba weeeeeee!

1620886772525.png

 
Juzi nipo na demu faragha, nikitaka kuzamisha mkuyenge kavukavu anaonesha ushirikiano, nikivuta pakti ya condom anaanza oooh baby tufanye siku nyingine, wanawake saa zingine sijui hua wanafikiria nini yaan...
Ni shughuli pevu acha tuendelee na Hili game maana hamna namna au vipi
Wewe je unaonaje
 
Tunaendelea kuona wanaume wakishafanya mapenzi kavu tu maswali yafuatayo Ni je nimeambukizwa ngoma moja kwa moja asee waga tunakwama kifo Cha ukimwi sio njia nzuri wadau mnafahamu vizuri Ila tatizo wakina dada wanaona ukimwi Ni kama malaria watu wanavua bikini kwa buku tano
Yeye anakua ameshaamua, ameshajipanga na yuko tayari kwa matokeo yoyote!
Wewe muda huo unaongozwa na kichwa cha chini kwa Mjumbe, unajisahau kama Mjumbe sio wa kumtegemea! Sasa ile umemaliza tu ndio Mjumbe anakuachia jumba bovu uhangaike nalo unanza kutumia kichwa OG!
 
Juzi nipo na demu faragha, nikitaka kuzamisha mkuyenge kavukavu anaonesha ushirikiano, nikivuta pakti ya condom anaanza oooh baby tufanye siku nyingine, wanawake saa zingine sijui hua wanafikiria nini yaan...
Daah mimi ilishawahi kunikuta aisee manzi kawekwa mtu kati kavua hadi pichu aisee kila kitu kiko mkao wa kula nikapeleka zigo mlangoni sijui nikasanuka nini bn kabla sijazama ndani nikawazia ndomu, ile navaa tu akafumbua macho kuona ndomu eti akaleta stori nyingi sijui yuko na allergy na mafuta ya ndomu mara nn, aah nikaona bora nighairi kipindi aisee

Mimi sio muumini wa ndomu ila daah alinitisha nikaacha kabisa ani[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom