ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ni shughuli pevu acha tuendelee na Hili game maana hamna namna au vipiJuzi nipo na demu faragha, nikitaka kuzamisha mkuyenge kavukavu anaonesha ushirikiano, nikivuta pakti ya condom anaanza oooh baby tufanye siku nyingine, wanawake saa zingine sijui hua wanafikiria nini yaan...
Sio mchezoNaona unawaalert raia mapema kabisa maana sikukuu mbioni [emoji23]
Yeye anakua ameshaamua, ameshajipanga na yuko tayari kwa matokeo yoyote!Tunaendelea kuona wanaume wakishafanya mapenzi kavu tu maswali yafuatayo Ni je nimeambukizwa ngoma moja kwa moja asee waga tunakwama kifo Cha ukimwi sio njia nzuri wadau mnafahamu vizuri Ila tatizo wakina dada wanaona ukimwi Ni kama malaria watu wanavua bikini kwa buku tano
Noma sanaJuzi nipo na demu faragha, nikitaka kuzamisha mkuyenge kavukavu anaonesha ushirikiano, nikivuta pakti ya condom anaanza oooh baby tufanye siku nyingine, wanawake saa zingine sijui hua wanafikiria nini yaan...
Kuokoka ndio dawaNi shughuli pevu acha tuendelee na Hili game maana hamna namna au vipi
Wewe je unaonaje
Daah mimi ilishawahi kunikuta aisee manzi kawekwa mtu kati kavua hadi pichu aisee kila kitu kiko mkao wa kula nikapeleka zigo mlangoni sijui nikasanuka nini bn kabla sijazama ndani nikawazia ndomu, ile navaa tu akafumbua macho kuona ndomu eti akaleta stori nyingi sijui yuko na allergy na mafuta ya ndomu mara nn, aah nikaona bora nighairi kipindi aiseeJuzi nipo na demu faragha, nikitaka kuzamisha mkuyenge kavukavu anaonesha ushirikiano, nikivuta pakti ya condom anaanza oooh baby tufanye siku nyingine, wanawake saa zingine sijui hua wanafikiria nini yaan...
Naona umeokoka siku hiziKuokoka ndio dawa
Tuwaulize asee,.Mnawatoaga wapi hao wanawake? Au unazungumzia visichana, maana inasemekana sie wanawake ndo tuko makini sana katika kuhamasisha utumiaji wa kinga kuliko nyie me
Hahahaha kwanini Mpwa? Mimi mbona Mtumishi siku nyingi sana? Uko na kitabu cha "Zambi" zangu?? Kichome hakina kazi tena hichoNaona umeokoka siku hizi
Hatari sana we kijanaKuokoka ndio dawa
Hatuwezi kutoa siri za kambi!Mnawatoaga wapi hao wanawake? Au unazungumzia visichana, maana inasemekana sie wanawake ndo tuko makini sana katika kuhamasisha utumiaji wa kinga kuliko nyie me