Baada ya US Federal reserves kupandisha interest rate madhara yake yameanza kuonekana

Baada ya US Federal reserves kupandisha interest rate madhara yake yameanza kuonekana

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Baada ya watu kutoka lockdown iliyoshababishwa na corona kulipelekea watu kuwa na hela nyingi huku uzalishaji production ikiwa chini kilichotokea ni inflation kuwa juu karibia nchi zote dunia

Marekani kama taifa lenye uchumi mkubwa waliamua kupambana na inflation kwa kupandisha interest rate kama initiative za contraction monetary policy ili kupunguza dollar kwenye circulation kama njia ya kupunguza overheatting ya uchumi wao

Madhara ya contraction monetary policy yameanza kuonekana kwenye bank za marekan nyingi ziko katika hali mbaya baada ya kupandishwa kwa interest rate,

Madhara mengine ni kuadimika kwa dollar kama ilivyo sasa, dollar imekua hadimu sana kutokana na us federal reserve kupandisha interest rate

Kwa nchi zinazotegemea import kama tanzania price of import itaongezeka huku nchi zinazotegemea export na wanatumia dollar watafaidika sana

Suluhisho ni us federal reserves wasitishe mpango wao wa kuendelea kupandisha interest rate ili kutoendelea kuleta ugumu kwenye uchumi wa dunia
Kumbuka dunia nzima inafuatilia kwa umakin sana us monetary policy sababu ziko sensitive sana na uchumi wa dunia
 
Baada ya watu kutoka lockdown iliyoshababishwa na corona kulipelekea watu kuwa na hela nyingi huku uzalishaji production ikiwa chini kilichotokea ni inflation kuwa juu karibia nchi zote dunia

Marekani kama taifa lenye uchumi mkubwa waliamua kupambana na inflation kwa kupandisha interest rate kama initiative za contraction monetary policy ili kupunguza dollar kwenye circulation kama njia ya kupunguza overheatting ya uchumi wao

Madhara ya contraction monetary policy yameanza kuonekana kwenye bank za marekan nyingi ziko katika hali mbaya baada ya kupandishwa kwa interest rate,

Madhara mengine ni kuadimika kwa dollar kama ilivyo sasa, dollar imekua hadimu sana kutokana na us federal reserve kupandisha interest rate

Kwa nchi zinazotegemea import kama tanzania price of import itaongezeka huku nchi zinazotegemea export na wanatumia dollar watafaidika sana

Suluhisho ni us federal reserves wasitishe mpango wao wa kuendelea kupandisha interest rate ili kutoendelea kuleta ugumu kwenye uchumi wa dunia
Kumbuka dunia nzima inafuatilia kwa umakin sana us monetary policy sababu ziko sensitive sana na uchumi wa dunia
Katika hali hii baadhi ya Mataifa yameamua kutumia fedha zao katika biashara kati yao na kuachana na dola. Halafu Marekani yenyewe inadaiwa kama ilivyo kwa Mataifa mengine. Wao kinachowasaidia ni kwamba wana uwezo wa kuchapa pesa nyingine nyingi tu kulikabili hili.
 
Katika hali hii baadhi ya Mataifa yameamua kutumia fedha zao katika biashara kati yao na kuachana na dola. Halafu Marekani yenyewe inadaiwa kama ilivyo kwa Mataifa mengine. Wao kinachowasaidia ni kwamba wana uwezo wa kuchapa pesa nyingine nyingi tu kulikabili hili.
wanauchumi mkubwa na taasisi kubwa kama imf na world bank wanatumia dollar kwenye kutoa mikopo hata wafanyabiashara wengi Tanzania wana prefer kutumia dollar kuliko hela nyingine

Kwenye monetary policy huwez chapisha chapisha hela kila unavyojisikia
 
Back
Top Bottom