tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
Kama ccm inavyohangaika baada ya kuachwa na NyalanduHivi kumbe wanaume nao wanahangaikaga hivi wakiachwa
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] ya walimwengu hayo mkuuWatu wapekenyuku dah kweli kibo yaani hii ni Sawa Sawa na mwizi anaiba usiku wa manane haonekani lakini ukiingiza tu mwanamke hata nusu saa akae Tu na kutoka watamuona
Kunywa maziwa fresh nalipa mm dada[emoji122] [emoji122] [emoji122]Hamna kitu kibaya kama mashindano, mara vijembe hayo ni mambo ya kitoto mnoo!!! Kimya ni jibu tosha
Asante mdogo wanguKunywa maziwa fresh nalipa mm dada[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Alikua anacheza Cyprus huko timu ya kawaida tu. Sema ulimbukeni ukamfanya ajue Bonge la timu kumbe ni kama kinamsuva tu.Nahisi Irene alivyosikia ndiku mwanasoka wawapi huko sijui,akahisi ni wa viwango vya kina drogba enzi hizo au etoo akajua pesa IPO,.loooh kumbeee.....
Kumbe Ndivyo Mlivyo Eeeehhh Hongeren Kwa HiloAshafulia ndiku
[emoji2] [emoji2] [emoji2] sana tuhuyu jamaa nae mpuuzi, angekaa kimya tu....mambo ya vijembe ya wanawake.
au ndo stress na maumivu anajifarijii...!!!
Hapana simaniishi kipesaKumbe Ndivyo Mlivyo Eeeehhh Hongeren Kwa Hilo
Yan nataft fursa kwako, pm yako imejaa txt zangu ila hujibuHamna kitu kibaya kama mashindano, mara vijembe hayo ni mambo ya kitoto mnoo!!! Kimya ni jibu tosha
Ulikuwa Unamaanisha Nin Bibie......???Hapana simaniishi kipesa
Ndiku akubali matokeo kua Irene amemove onUlikuwa Unamaanisha Nin Bibie......???