Baada ya video kuvuja utofauti wa Nigeria social network vs Tanzania waonekana

aliona wakati video inarecordiwa sema akujua kama na sura itatokea maana camera ilipita uson kidogo tu
Yeah nimesikia ilikua hivyo, ila alievujisha walitaka hela ilikua kama deal imetengezwa tiwa akagomea
 
Dada zangu siku hizi wagumu kuelewa na wavulana wanao kutana nao ni malimbukeni, sijui kwa nini wanapenda kuwafanyia hivi wanawake.
Mbona zipo nying tu wadada wana record wao ; kuvuja kwa hiz hakuna uhusiano na gender
 
Jaman mi ninayo nitakupa bure pm..lakin uwe mdada tu!!!
 
Tiwa alisema bf wake alipost Snapchat bahati mbaya akaifuta akiwa ameshachelewa, aliyevujisha aliomba pesa ili akaushe aliponyimwa akasala kama hivo.......sio kwamba hajulikani
Duh, najaribu kuvaa viatu vya jamaa...ile hali inayokukuta unapojihisi umekosea kutuma sms.

Pale mmegawana pesa mkamuacha Mshikaji alafu ile sms ya "nimekutumia laki mbili huyu mse.. temana nae"....mara baada ya ku press send unagundua umemtumia huyo huyo mnayemsema.

Unless other wise huyo Jamaa kafanya makusudi tu, maana Binadamu nao bana si wa kuwaamini 100%.
 
anakupa pole halafu anachungulia kidogo, hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…