Baada ya Viongozi wa EAC na SADC kushindwa kutatua Mgogoro wa DRC, Viongozi wa dini Waingilia kati

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tulishasema humu mara kadhaa kwamba Viongozi wa Nchi hizo hawana uwezo wa kutatua chochote zaidi ya kuiba kura na kusimamia mauaji ya wanasiasa wa upinzani.

Hebu angalia kilichofanyika Kwenye kikao chao cha DSM, haieleweki hata walichokifanya, Najuta kwa mkutano huu kutusababishia foleni bila sababu ya msingi.

Sasa viongozi wa Dini wa DRC wameingilia kati na kuamua kumaliza mgogoro huo, na kwa kuanzia wameamua kukutana na Waasi wa M23.

Hawa hapo

 
Mkuu wa M23- alikuwa mwenyekiti time ya uchaguzi akili kumtangaza ambaye hakuwa mshindi shikeshidi
 
Kulala,FO!FO!FO!

Kucheka,KWA!KWA!KWA!

Kulia,KWI!KWI!KWI!

Kut*mba...........?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…