huyu miaka 11? mmmhmmm!!!! ni 13 au 14 bana tusidanganyane
huyo mtoto anaumbo kubwa tu lakini ndo katimiza miaka 11 mwaka jana mwishoni, afu kajala alizaa akiwa mdogo sana. Hana miaka 23 though
mie bado naiona hiyo ni midogo
huyu miaka 11? mmmhmmm!!!! ni 13 au 14 bana tusidanganyane
si maneno yangu hayo..
[/QUOTE
Ndio kanauzwa shilingi ngapi vile?Na mie niji pige pige.
Miss u dear friend.............
Huyu ana miaka 11?, binti yangu ana miaka 11, mbona wakwangu bado anaonekana mdogo sana na yuko darasa la 6, huyu yuko form ngapi? Tyta
May be 16 au 15 ninaweza kuamini kidogo
Miss u dear friend.............
Yuko shule ya Sunrise primary ipo nyuma ya Hospitali ya AAR pale morocco, huyu mtoto ni mdogo maana tangu anazaliwa alikuwa anasikika na hata kwenye interview na majarida aliyohojiwa Pfunk alikuwa anamtaja enzi hzo wala sio mkubwa kama mnavyodhani.
Nakumbuka tuzo za mwaka 2003 majani alipewa lakin hakuwepo na wakasema hayupo kwasababu yupo hosptal mkewe kajifungua..
So m naamini ana miaka 11..
Mnaobisha mmeijua bongo fleva juzi..
Mmmh! Labda, manake tunatofautiana kulea na kulisha watoto, mie mwangu yuko drs la 6 na ana miaka kumi na 11, kwanza hata hafanani na hilo darasa la sita, unaweza dhani ana miaka 8 au 9 na pengine yuko darasa la 3 au la nne.
Basi kwa umbile lake na umaarufu wa wazazi kataanza mambo ya kikubwa mapema sana haka kabinti
Yup ndo hivyo kuna wenye miili midogo ukiambiwa yuko la 6 utabisha na pia kuna wenye miili mikubwa kama Paula ukiambiwa yupo darasa hilo utabisha.. Ila Paula sio mkubwa huyo dogo anafumuka tu ana mwili kama mamaake ila kazaliwa 2003.