Hamna bahat mbaya tu!Kamuaharibia biashara elisha wa watu
anhaa pongezi kwake kijana mwenzetuKazindua viatuView attachment 580161
Hizi mambo zibaki huko huko insta, anaezitaka azifate huko huko, huku hazitufai
Sent using Jamii Forums mobile app
True what she did isn't fair at allHadi baadhi ya timu yake kama mrekebishatabia wamempa makavu laivu
True what she did isn't fair at all
Idriss anajitoa sana kwa wema,mi nakataa kusema et nguo iliharibiwa!!wema ana dharau sana hapend kutokea kwenye event za watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mim bado sijaelewa mkuu nsaidie kunielewesha[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli event za watu nyingi huwa haendi... Hapa anajitetea tuuu ila angekua na nia ya kwenda siku mbili kabla angefanya fitting sio kusibiri eti saa mbili usikuTrue what she did isn't fair at all
Idriss anajitoa sana kwa wema,mi nakataa kusema et nguo iliharibiwa!!wema ana dharau sana hapend kutokea kwenye event za watu
Sent using Jamii Forums mobile app