baada ya wiki tu!!

baada ya wiki tu!!

Richbest

Senior Member
Joined
May 23, 2011
Posts
101
Reaction score
24
habar wapendwa?imekua ikinitokea mpenz wangu anakaa mji tofaut na wangu anapokuja huwa ni kuduu mwanzo mwisho huwa sitoki ndan baada ya wiki huwa naishiwa nguvu naweza hata jogoo ashindwe panda je nina tatizo gan hapo?
 
Unaumwa Mkuu,unatakiwa jogoo wako asimame ht km utakuwa hutoi manii.
Lakini km ht kupanda mtungi anashindwa ila ngoja Madokta waje.
Najua ufumbuzi utaupata hapa Jf.
 
duu.hamna kingine cha kufanya zaidi ya kuduu tu?umekuwa sex machine.mzizi mkavu uje ujibu huku
 
una tatizo la utoto, dawa ni kusubiri ukue tu
habar wapendwa?imekua ikinitokea mpenz wangu anakaa mji tofaut na wangu anapokuja huwa ni kuduu mwanzo mwisho huwa sitoki ndan baada ya wiki huwa naishiwa nguvu naweza hata jogoo ashindwe panda je nina tatizo gan hapo?
 
Unafanya marangap kwa siku bwana mdogo? Hauhisi maumivu?je nikitugan ukifanya ndipo unasimama tena?
 
Wewe mtoto mbona una maajabu, week nzima yaani siku saba mnajifungia ndani mna-do tu? Hakika wewe ni kidume cha mbegu huyo jogoo huwa anakuwa likizo tu, huna tatizo lolote..!
 
Back
Top Bottom