Baada ya wimbo wa "Wanatuona Manyani" kufungiwa, mwingine ajitoa muhanga na "Joka la Kijani"

Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.
Hii itaanza kuwatafuna hao watoto walioshika mabango
 
Nice song
 
Huenda kuna kizazi kipya cha wasanii wenye akili kinakuja baada ya kile cha wenye kujikomba kwa watawala.
Waimba amapiano na singeli
Wavaa Heleni puani vikuku mguuni
Walamba lips

Ova
 
Ndio madhara ya kupambana na wasanii hayo.. sasa watafungia wangapi?
 
HIi imeenda.
Akitoa na mwingine na mwingine sijui watakamata wangapi
 
Huenda kuna kizazi kipya cha wasanii wenye akili kinakuja baada ya kile cha wenye kujikomba kwa watawala.
Kimeanza kuonekana Kwa mbali. Na hii ni 2023 mpaka 2025 tutakuwa na nyingi zinazohamasisha Uzalendo badala ya ngono zembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…