Baada ya Yanga kufungwa SportPesa washindwa kusasisha matokeo

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
3,433
Reaction score
8,585
Jana nilimuua yanga na Mungu si Athumani mkeka ukatiki, lakini mpaka muda huu masaa 20 yamepita Sportpesa wameshindwa kusasisha matokeo ya mechi hiyo ili kuwezesha wateja kulipwa.
 
Abas talimba ni hovyo Sana huyu mzee,unaz unamuharibu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…