Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Sijui ni kitu gani kilinikumba mwanzoni mwa msimu wa soka wa 2018/2019. Mwanzoni nilikuwa nashangilia timu inayoshinda tu kwa upande wa ulaya. Watu walikuwa wakibishana juu ya timu zao lakini Mimi ni yanga tu!!!. Kuingia kwa timu ya real Valladolid kule ulaya ndo kumenifanya nipate timu ya kuishangilia.
Ubaya wa timu ninazoshangilia zote zinafanya vibaya kwa siku za hivi karibuni lakini ndio mpira.
Ubaya wa timu ninazoshangilia zote zinafanya vibaya kwa siku za hivi karibuni lakini ndio mpira.