sijaamini kuwa dr.slaa kavuta wazanzibar kiasi kile..........kweli huyu ni mtu wa watu..........kachukue kura zingine huko mwandishi wa thread anakosema kuna kura zetu sis chadema
Hivi kumbe mtu ukienda kusikiliza sera unahesabiwa ushampigia kura unaemsikiliza? nilikuwa sijui mwenzenu kweli humu JF kuna ujuzi wa hali ya juu.
Kuweza kuwashawishi watu kuhudhuria mkutano wako ni hatua kubwa. SI YA KUBEZA.
Hivi kumbe mtu ukienda kusikiliza sera unahesabiwa ushampigia kura unaemsikiliza? nilikuwa sijui mwenzenu kweli humu JF kuna ujuzi wa hali ya juu.
Ni kweli wengi tungependa kushauri Dr Slaa ni lazima afanye kila linalowezekana angalau afike mikoa yote kwani kwa kutofika baadhi ya mikoa hii italeta hoja kwa mafisadi kuwa hiki ni chama cha baadhi ya mikoa, bahati mbaya huko ambako hajafika ni kanda (Southrn zone) ambako kama umasikini huko ndo baba yake! Prof. Baregu kazeni buti tufike Lindi, Mtwara na Ruvuma tukachukue kura zetu na kujiweka sawa.