Baadaa ya Mawaziri panga linalokuja ni kwa Wakuu wa mikoa na wilaya

Baadaa ya Mawaziri panga linalokuja ni kwa Wakuu wa mikoa na wilaya

Zakamwamoba

Senior Member
Joined
Jul 28, 2016
Posts
177
Reaction score
609
Mheshimiwa Rais Samia leo amemwapisha Katibu Mkuu Kiongozi na baadhi ya Mawaziri na Manaibu wao. Hii ni kufuatia mabadiliko madogo aliyoyatangaza jana tar 31 March 2021.

Baada ya kuwaapisha, Rais Samia amesikia akisema kuna uwezekano Jumanne kuna watu wataingia Chamwino kula viapo.

Mnuso wangu unaniambia kuna baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya wiki hii hawatoboi na kuna watu ambao hamkuwategemea watakula shavu.

Wikii hii mama anapangua safu ya wakuu wa mikoa.
 
Aanze na Iringa, Mbeya, Mtwara, kwenye mkuu wa mkoa.

Dc aanze na Hai
 
Hapa doto anaandaliwa njia tu akapumzike
 
Back
Top Bottom